Ujinga ni pale unapo...........

Internal

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
3,579
Reaction score
3,919
Huu ni uzi maalum kwa vile vimsemo vilivyosambaa mitandaoni vinavyoanza na ujinga ni pale.......nk


Nawewe tupia hapa ili twende sambamba................

Kwamfano.
Ujinga ni pale unapo unapomwambia demu I Love You.....nakusubiria majibu wakati sio swali.




Ujingani pale unapofika ukweni mkapia msos wa jioni vizur na kupewa chumba chako maalum cha kulala then usiku wakati unatoka nje kujisaidia unaparamia vyombo na ndoo za maji ghafla mama mkwe anawasha taa anakukuta umeshikilia sufuria. .....mama mkwe anakwambia, baba kama ulikuwa hujashiba siungesema????

Apo ndo utajua kwann kuku anabaka wala hatongozi.





Ujinga ni pale unapokosea sms kwa mkwe wako *Njoo mpenz leo halipo limeenda kwao na watoto usijali** .
Utatamani uwapigie customer care wairudishe.





Weka na wewe zakwako karbuni
 
UJINGA NI NINI?
UJINGA NI PALE UTAPOKOSEA KUTUMA MESSAGE UKAMTUMIA DAD INSTEAD OF DIANA ..na message inasema "bby nimetuma tayar ile pesa,nakupenda sana hata karo cjalipa kwa ajili yako"
 
Ujinga ni pale unapomwita "Mume wa mtu"
Mume wako, wakati unajua wewe ni mchepuko na mbaya zaidi
wamefunga ndoa ya kanisani na mke wake
utazeekea kwenu ukiwa hujaolewa
 
Ujinga ni pale:-
Unapoomba namba ya Password ya WiFi. na Kuandika Naomba namba ya Wife kwa rafiki yako.😉😛😀
nimecheka Sana,nakumbuka juzi nilikosea,kumbe ndo maana akawa ananiuliza Mara mbilimbili nini???
 
Ujinga ni pale unapomwita "Mume wa mtu"
Mume wako, wakati unajua wewe ni mchepuko na mbaya zaidi
wamefunga ndoa ya kanisani na mke wake
utazeekea kwenu ukiwa hujaolewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji116]
nimecheka Sana,nakumbuka juzi nilikosea,kumbe ndo maana akawa ananiuliza Mara mbilimbili nini???
 
Ujinga ni pale unapoahidiwa kutumiwa hela na mtu halafu unakaa umekodolea macho screen na ghafla inaingia sms na ukadhani hela imeingia kumbe kumbe unakumbushwa kulipa mkopo wa vocha uliyokopa
 
Ujinga ni pale unapoahidiwa kutumiwa hela na mtu halafu unakaa umekodolea macho screen na ghafla inaingia sms na ukadhani hela imeingia kumbe kumbe unakumbushwa kulipa mkopo wa vocha uliyokopa


Hahahaaaaaaaa hii inanikutaga sana
 
Ujinga ni pale unapomuona msichana unampenda kwa moyo mmoja unaamua kumuomba namba ya simu ya yeye bila hiyana anakupa, ukifika home unamtumia sms ya kueleza dhamira yako ya upendo wako kwake, sekunde inaingia meseji, unafurahi kuwa umejibiwa, unaamua kwenda kuoga na kula then unakaa kwenye sofa ukiwa tayari kusoma sms ambayo kwa asilimia zote unajua ni majibu ya ombi lako kwa yule demu halafu unakutana na sms hii kutoka TIGO: SALIO LAKO HALITOSHI KUTUMA MESEJI
 

Jameni nimecheka hadi basi....
 
Ujinga ni pale mkeo kakuzalia mtoto aliyefanana sura na jirani yako wa kiume arafu ukimuhoji mkeo anakujibu huo ndio ujirani mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…