Jamani!,m2 mwenye nia nyema na uchungu wa nchi hii,haweza kuleta mdhaa na maisha ya watanzania hata kidogo,wala kushawishika kwa chochote kile,sasa leo nawaona hawa wanaoitwa wanafunzi wa UDSM,wanaomzungumzia mnyika,mimi naona kama hawafai katika taifa hili la Tanzania,hususani jimbo letu la ubungo,mana ninaamin kusoma sio ndo kuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua,kuchambua,kutatua matatizo yanayoikabili taifa letu la ubungo,mana wanaweza kuthubutu kuja kwetu wananchi na kusema heti walitudanganya elimu ya mnyika,kipindi cha uchaguzi ili tuweze kumchagua,huo ni upumbavu na mnakidhalilisha chuo chenu na wanafunzi wote wa mlimani,kuwa baadhi yao hawana uzalendo wa kweli na nchi yao,na tunawaomba tusiwaone katika jibo letu mkiongea katika mikutano,mana nyinyi ni wapumbavu.
Afu kipimo cha mbunge hatuangalii elimu peke yake bali ni nini anachosaidia katika kuleta maendeleo katika taifa letu na isiwe katika jimbo lako tu,je wewe katika kipindi chote hicho kama kweli unauwezo wa kujaji kwa elimu yako uliyoipata huko UDSM unaweza kuniambia kwamba mnyika akiwa na division yake ya 1.7 pamoja na serikali yetu inayokuwa kizuizi cha maendeleo ,hajafanya kitu?,Acheni siasa chafu kwa ajili ya chuki binafsi mana mnakidhalilisha chuo cheni na kuwatoa thamani UDSM
Afu kipimo cha mbunge hatuangalii elimu peke yake bali ni nini anachosaidia katika kuleta maendeleo katika taifa letu na isiwe katika jimbo lako tu,je wewe katika kipindi chote hicho kama kweli unauwezo wa kujaji kwa elimu yako uliyoipata huko UDSM unaweza kuniambia kwamba mnyika akiwa na division yake ya 1.7 pamoja na serikali yetu inayokuwa kizuizi cha maendeleo ,hajafanya kitu?,Acheni siasa chafu kwa ajili ya chuki binafsi mana mnakidhalilisha chuo cheni na kuwatoa thamani UDSM