Ujinga wa diamond kujiona yeye ni clouds zaidi kuliko media zingine ni Ujinga uliopitiliza

Ujinga wa diamond kujiona yeye ni clouds zaidi kuliko media zingine ni Ujinga uliopitiliza

Habari yako si ya kweli na uache uongo na uzushi.

HIZI HAPA BAADHI YA PICHA ZA KWENYE MEDIA TOUR ZA UTANIPENDA ( bado hajatoa nyimbo nyingine toka atoe Je utanipenda.....)

images

Hii ni tbc.

images

Hii hapa inaonekana live E.fm.

images

Magic fm

images

Hapa Azzam tv.
Mkuu usipanik hiyo ndo Hali halisi, diamond kwa Sasa anaijua clouds tu, media zingine sio ishu kwake
 
Diamond platnumz au Diamond mwingine? Huwa namuona E fm, clouds, kuna kipindi meneja wake alikuwa anaenda kwenye media hadi za mikoani, kuhusu East Africa Tv nafikiri wanamgogoro.
Mgogoro gani mkuu, mbona nyimbo zake na za wasanii wake zipo hadi top ten za Eatv!!
 
mnataka huyo msanii akitoa nyimbo aje mpaka Moshi Fm kuitambulisha?

Beyonce hajawahi kufika hata clouds na Lemonade inaongelewa kila saa
 
hivi ni msanii gani aliyeanzisha media tour bongo kama sio dimond?

tuachane na hayo haya ukiachana na diamond ni wasanii gani wakubwa hapa bongo huwa hawaanzi kuintruce ngoma zao clouds
 
hivi ni msanii gani aliyeanzisha media tour bongo kama sio dimond?

tuachane na hayo haya ukiachana na diamond ni wasanii gani wakubwa hapa bongo huwa hawaanzi kuintruce ngoma zao clouds
Sio kweli hii kitu ilianzishwa na watu wa hip hop, sikumbuki ni Nan
 
mnataka huyo msanii akitoa nyimbo aje mpaka Moshi Fm kuitambulisha?

Beyonce hajawahi kufika hata clouds na Lemonade inaongelewa kila saa
Sasa unamfananisha Beyonce na diamond!!!
Ndio uwezo wa kufikir umeishia hapo mkuu
 
Sio kweli hii kitu ilianzishwa na watu wa hip hop, sikumbuki ni Nan
kitendo cha kushindwa kumkumbuka kunanipa mashaka na jibu lako.....

kingine ni kwamba diamond nyimbo zake huwa anazitambulisha raduio zote kubwa akianza na clouds... na hivi ndivyo waasanii wote waliopo chini ya fella na tale hufanya.. halafu usitegemee diamond aje kutambulisha nyimbo yake kwenye radio yako pendwa ya kifimbo
 
Napenda kutumia jukwaa hili kumshauri msanii diamond, na hii tabia yake ya kudhani kuwa yeye nyumbani kwake kwenye upande wa media ni kituo cha clouds tu, siwezi jua moyoni mwake anasukumwa na nini ila kiukweli Hali hii kwa msanii kama yeye ambaye kwa Sasa anajulikana angalau nchi za ukanda wetu wa Africa mashariki ni Ujinga uliopitiliza

Yaani kila kitu chochote kinachomusu yeye source yake ya Habari lazima ianzie kule clouds, maana yake hii anawanyima wengine Mamlaka ya kuripot habar zake

Nakumbuka miaka kadhaa nyuma wakat ule ana nywele kama chelewa ilikuwa kila akiachia video ilikuwa lazima apite pale Friday night live F.N.L akauview kwa mashabiki wake
Ilikuwa kila akiachia audio lazima atafanya media tour kwa radio zisizo pungua tano, ila Leo hii yeye akishaenda mawinguni kashamaliza hii ni dharau kubwa kwa vyombo vya Habari
kwani wasanii na media wanategemeana sana,

Leo hii kina Jay-Z, Rick Ross, 50 cent, Beyonce, Rihanna, Chris Brown, dmx, na mastaa wengi wa marekani hufanya media tour bila kuichagua japo ngoma zao huziuza zaidi kwenye iTunes

Hata hapa Tanzania kuna legendary kama kina ambwene yesaya, A.Y, joh Makin, profesa jay, sugu, alikiba, jaydee na wengine huwa hawaleti pozi wala kuchagua sehemu za interview

Namshauri bw. Almasi hajafika hapo alipo pekee yake media zimempush aache ulimbukeni wa tandale

Wasalaamu

WW una yepi mafanikio hadi uwe mshauri na muonyaji wa diamond?!!

Umekula lkn mkuu?!
 
kitendo cha kushindwa kumkumbuka kunanipa mashaka na jibu lako.....

kingine ni kwamba diamond nyimbo zake huwa anazitambulisha raduio zote kubwa akianza na clouds... na hivi ndivyo waasanii wote waliopo chini ya fella na tale hufanya.. halafu usitegemee diamond aje kutambulisha nyimbo yake kwenye radio yako pendwa ya kifimbo
hahahhaahhaaaa,mkuu kifimbo fm,dah umenikumbusha dom aise...iyo radio hapo dom tu kuna maeneo ni chenga tupu!
 
Napenda kutumia jukwaa hili kumshauri msanii diamond, na hii tabia yake ya kudhani kuwa yeye nyumbani kwake kwenye upande wa media ni kituo cha clouds tu, siwezi jua moyoni mwake anasukumwa na nini ila kiukweli Hali hii kwa msanii kama yeye ambaye kwa Sasa anajulikana angalau nchi za ukanda wetu wa Africa mashariki ni Ujinga uliopitiliza

Yaani kila kitu chochote kinachomusu yeye source yake ya Habari lazima ianzie kule clouds, maana yake hii anawanyima wengine Mamlaka ya kuripot habar zake

Nakumbuka miaka kadhaa nyuma wakat ule ana nywele kama chelewa ilikuwa kila akiachia video ilikuwa lazima apite pale Friday night live F.N.L akauview kwa mashabiki wake
Ilikuwa kila akiachia audio lazima atafanya media tour kwa radio zisizo pungua tano, ila Leo hii yeye akishaenda mawinguni kashamaliza hii ni dharau kubwa kwa vyombo vya Habari
kwani wasanii na media wanategemeana sana,

Leo hii kina Jay-Z, Rick Ross, 50 cent, Beyonce, Rihanna, Chris Brown, dmx, na mastaa wengi wa marekani hufanya media tour bila kuichagua japo ngoma zao huziuza zaidi kwenye iTunes

Hata hapa Tanzania kuna legendary kama kina ambwene yesaya, A.Y, joh Makin, profesa jay, sugu, alikiba, jaydee na wengine huwa hawaleti pozi wala kuchagua sehemu za interview

Namshauri bw. Almasi hajafika hapo alipo pekee yake media zimempush aache ulimbukeni wa tandale

Wasalaamu
umeanza lini kumfatilia diamond ngoja nikupe mfano wakati wanazidua hii nyimbo ya bado by harmonizer na hata raymond alienda karibia radio za zote dar na ratiba ilikuwa ivi
saa sita mchana walikuwepo kwny leo tena clouds
saa nane walikuwepo east africa radio halafu wakaingia radio one
saa 11alienda ubaoni e.fm
saa moja alikuwa tbc fm papaso
saa 3 alikuwepo magic fm
cku iliofata
saa nane alikuwa uhuru fm
saa kumi times fm
saa moja alienda sibuka fm
hamna msanii anaefanya media tour km diamond anafikaga karibia kila radio
uku pembeni said fella alikuwa anatembelea radio za mkoani
 
mtu radio yako inaskika mabibo tuu afu eti nawe unataka daimond akutembelee kha!
 
Back
Top Bottom