Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
- Thread starter
-
- #41
Mkuu usipanik hiyo ndo Hali halisi, diamond kwa Sasa anaijua clouds tu, media zingine sio ishu kwakeHabari yako si ya kweli na uache uongo na uzushi.
HIZI HAPA BAADHI YA PICHA ZA KWENYE MEDIA TOUR ZA UTANIPENDA ( bado hajatoa nyimbo nyingine toka atoe Je utanipenda.....)
Hii ni tbc.
Hii hapa inaonekana live E.fm.
Magic fm
Hapa Azzam tv.
Mbna zamani alikuwa hasemi katengenezwa na clouds, diamond anakosea sana kubagua mediaClouds made Diamond, Clouds runs Tz music industry.
Mwambie na wewe mkuuvipi mbona hawa wa made hao wasanii wao wa THT? diamond katoboa mwenyewe wala usiwape sifa clouds
Mgogoro gani mkuu, mbona nyimbo zake na za wasanii wake zipo hadi top ten za Eatv!!Diamond platnumz au Diamond mwingine? Huwa namuona E fm, clouds, kuna kipindi meneja wake alikuwa anaenda kwenye media hadi za mikoani, kuhusu East Africa Tv nafikiri wanamgogoro.
Labda wameyamaliza, kuna kipindi walikuwa hawapigi nyimbo zake kabisa.Mgogoro gani mkuu, mbona nyimbo zake na za wasanii wake zipo hadi top ten za Eatv!!
Sijawahi experience hii kitu, ndo naskia kwakoLabda wameyamaliza, kuna kipindi walikuwa hawapigi nyimbo zake kabisa.
Sio kweli hii kitu ilianzishwa na watu wa hip hop, sikumbuki ni Nanhivi ni msanii gani aliyeanzisha media tour bongo kama sio dimond?
tuachane na hayo haya ukiachana na diamond ni wasanii gani wakubwa hapa bongo huwa hawaanzi kuintruce ngoma zao clouds
Sasa unamfananisha Beyonce na diamond!!!mnataka huyo msanii akitoa nyimbo aje mpaka Moshi Fm kuitambulisha?
Beyonce hajawahi kufika hata clouds na Lemonade inaongelewa kila saa
Umezidi kukaa huko babati vijijini habari za mjini zinakupita teh teh!Sijawahi experience hii kitu, ndo naskia kwako
We unaishi tandale au madaleUmezidi kukaa huko babati vijijini habari za mjini zinakupita teh teh!
Gamboshi.We unaishi tandale au madale
Endelea na ulozi maana nakujaga kuchukua dawa za utajiri uko, wanakijiji wote ni wachawiGamboshi.
kitendo cha kushindwa kumkumbuka kunanipa mashaka na jibu lako.....Sio kweli hii kitu ilianzishwa na watu wa hip hop, sikumbuki ni Nan
Napenda kutumia jukwaa hili kumshauri msanii diamond, na hii tabia yake ya kudhani kuwa yeye nyumbani kwake kwenye upande wa media ni kituo cha clouds tu, siwezi jua moyoni mwake anasukumwa na nini ila kiukweli Hali hii kwa msanii kama yeye ambaye kwa Sasa anajulikana angalau nchi za ukanda wetu wa Africa mashariki ni Ujinga uliopitiliza
Yaani kila kitu chochote kinachomusu yeye source yake ya Habari lazima ianzie kule clouds, maana yake hii anawanyima wengine Mamlaka ya kuripot habar zake
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma wakat ule ana nywele kama chelewa ilikuwa kila akiachia video ilikuwa lazima apite pale Friday night live F.N.L akauview kwa mashabiki wake
Ilikuwa kila akiachia audio lazima atafanya media tour kwa radio zisizo pungua tano, ila Leo hii yeye akishaenda mawinguni kashamaliza hii ni dharau kubwa kwa vyombo vya Habari
kwani wasanii na media wanategemeana sana,
Leo hii kina Jay-Z, Rick Ross, 50 cent, Beyonce, Rihanna, Chris Brown, dmx, na mastaa wengi wa marekani hufanya media tour bila kuichagua japo ngoma zao huziuza zaidi kwenye iTunes
Hata hapa Tanzania kuna legendary kama kina ambwene yesaya, A.Y, joh Makin, profesa jay, sugu, alikiba, jaydee na wengine huwa hawaleti pozi wala kuchagua sehemu za interview
Namshauri bw. Almasi hajafika hapo alipo pekee yake media zimempush aache ulimbukeni wa tandale
Wasalaamu
hahahhaahhaaaa,mkuu kifimbo fm,dah umenikumbusha dom aise...iyo radio hapo dom tu kuna maeneo ni chenga tupu!kitendo cha kushindwa kumkumbuka kunanipa mashaka na jibu lako.....
kingine ni kwamba diamond nyimbo zake huwa anazitambulisha raduio zote kubwa akianza na clouds... na hivi ndivyo waasanii wote waliopo chini ya fella na tale hufanya.. halafu usitegemee diamond aje kutambulisha nyimbo yake kwenye radio yako pendwa ya kifimbo
umeanza lini kumfatilia diamond ngoja nikupe mfano wakati wanazidua hii nyimbo ya bado by harmonizer na hata raymond alienda karibia radio za zote dar na ratiba ilikuwa iviNapenda kutumia jukwaa hili kumshauri msanii diamond, na hii tabia yake ya kudhani kuwa yeye nyumbani kwake kwenye upande wa media ni kituo cha clouds tu, siwezi jua moyoni mwake anasukumwa na nini ila kiukweli Hali hii kwa msanii kama yeye ambaye kwa Sasa anajulikana angalau nchi za ukanda wetu wa Africa mashariki ni Ujinga uliopitiliza
Yaani kila kitu chochote kinachomusu yeye source yake ya Habari lazima ianzie kule clouds, maana yake hii anawanyima wengine Mamlaka ya kuripot habar zake
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma wakat ule ana nywele kama chelewa ilikuwa kila akiachia video ilikuwa lazima apite pale Friday night live F.N.L akauview kwa mashabiki wake
Ilikuwa kila akiachia audio lazima atafanya media tour kwa radio zisizo pungua tano, ila Leo hii yeye akishaenda mawinguni kashamaliza hii ni dharau kubwa kwa vyombo vya Habari
kwani wasanii na media wanategemeana sana,
Leo hii kina Jay-Z, Rick Ross, 50 cent, Beyonce, Rihanna, Chris Brown, dmx, na mastaa wengi wa marekani hufanya media tour bila kuichagua japo ngoma zao huziuza zaidi kwenye iTunes
Hata hapa Tanzania kuna legendary kama kina ambwene yesaya, A.Y, joh Makin, profesa jay, sugu, alikiba, jaydee na wengine huwa hawaleti pozi wala kuchagua sehemu za interview
Namshauri bw. Almasi hajafika hapo alipo pekee yake media zimempush aache ulimbukeni wa tandale
Wasalaamu