Hii hadithi yako nyepesi sana tulishasikia kubwa sanaaaaaaaaa zaidi ya hii,lakini ndo kwanza badala wampungue mashabiki wake ndo kwanza wanazidi kuongezeka na unazidi kumpromoti pasipo mwenyewe kujua. We tuletee hata ya kabla hajazaliwa alisema nini sio hizo za 2013 na bado tunampenda tutaendelea kumpenda na hatutaacha kumpenda na wala hatufikilii kutokumpenda.