PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize...
Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]