Ujinga wa Waafrika wa utegemezi wa kila kitu katika dini

Ujinga wa Waafrika wa utegemezi wa kila kitu katika dini

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Waafrika mmetengenezewa utegemezi kila kitu ktk dini na mategemeo ya baadae siyo sasa ebu fikiria watu wanategemea kuna kupaa na kwenda mbinguni kuishi wakati haohao wanaowaaminisha hivyo wanasema dunia ni duara/ yai na inaelea hewani,sasa huko mbinguni ni wapi kama siyo ujinga wa Wafia dini wa kiafrika?

2024_06_18_19.13.22.png
 
Waafrika tunajua sayansi ya mbingu na nchi.

Yaani tulishajua kitambo.

Ona baada ya kuwaelimisha wapuuzi, walichofanya🙌🏾

Walienda kutengeneza gorofa la kumfikia Mungu!

The Tower of Babel.

Kumbuka, Tanzania ndio inaposemekana binadamu wa kwanza alianza kutembea kwa miguu.
 
Siku ambayo waafrika wataachana na hizo takataka ziitwazo dini na ndipo hata akili zitafunguka na maendeleo yataonekana.

Haiwezekani kujivika utamaduni wa mgeni, historia ya mgeni na imani ya mgeni alafu utegemee maendeleo, hiyo haipo, ndiomaana nchi zilizojitambua kama, South&North korea,China, india, huwezi kukuta huu ushenzi wa wananchi kukumbatia hizo dini ambazo hawana ushirika nazo kiutamaduni&kiimani, isipokuwa imani pekeee wanazozishika ni zile zinaofungamana na asili yao.

Afrika tumedandia imani na dini za watu weupe zinazotulazimisha kuukataa utu wetu kuanzia kimwili,kinafsi mpaka kiroho, hivyo hata mambo tunayoyatenda ni takataka hatuna tofauti na maroboti mabovu.
 
Waafrika mmetengenezewa utegemezi kila kitu ktk dini na mategemeo ya baadae siyo sasa ebu fikiria watu wanategemea kuna kupaa na kwenda mbinguni kuishi wakati haohao wanaowaaminisha hivyo wanasema dunia ni duara/ yai na inaelea hewani,sasa huko mbinguni ni wapi kama siyo ujinga wa Wafia dini wa kiafrika?

View attachment 3020378
Mtoa mada wewe ndio mjingq namba moja,,kwahiyo dunia na mbingu ni sawa?

Wakati mwingine mnyamaze kimya kuficha ujinga wenu period
 
Back
Top Bottom