wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
- Thread starter
-
- #21
Kumbe yanga ilikuwa mbovu, wala haijawahi kuwa inahujumiwa kama walivyokuwa wanawaamisha mashabiki wao.Unawafamu Karia na Katelephone wewe? Patatafutwa sababu yoyote mechi usogezwe mbele mpaka mokolo timu yao ikae sawa.
Rudia kusoma kwa umakini nilichoandika na ulichoandika.Kumbe yanga ilikuwa mbovu, wala haijawahi kuwa inahujumiwa kama walivyokuwa wanawaamisha mashabiki wao.
Ama leo karia amekuwa yanga?
Tena watashauriwa kabisa andikeni barua ya kuomba mechi usogezwe mbele.[emoji23][emoji23][emoji23] Kabisa Mkuu
Umekariri.... Sio kila mpira unaoshikwa ndani ya 18 ni penalt.Ukiwa mtu wa mwisho,karibu ya goli,ukamzuwia mchezaji wa timu pinzani kufunga,hiyo ni red,ukishika ndani ya 18 ni penati
Ukishika ni penati,mpira ukikugonga mkononi so penati,wanaita natural positionUmekariri.... Sio kila mpira unaoshikwa ndani ya 18 ni penalt.
Kwa kesi ya jana haikuwa penaltUkishika ni penati,mpira ukikugonga mkononi so penati,wanaita natural position
Mkono wa mayele na beki wa ruvu upi ilikua chini?Kwa kesi ya jana haikuwa penalt
1. Mayele ndiye aligongwa na mpira mkono (sio golini kwake hivyo haiwezi kuwa penalt)
2. Refa hakuona bali aliamua kwa mihemuko kwani mayele alionesha mchezaji wa ruvu alishika mpira lakini ukitazama marudio utaona mayele wakati anadondoka hakuwa anatazama mpira unakoelekea na bado akaonesha beki kaushika.
3. Yanga aidha wakubali timu ingine ikipata penalt haijabebwa au wakiri kuwa na wao walibebwa kwa penalt ile.