Ujinga wa wanaokula Pilipili!

Ujinga wa wanaokula Pilipili!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Pilipili.jpeg

Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza pilipili sasa ladha ya msosi utaijulia wa wapi?
 
baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ldha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvy anajaza pilipili sasa ladha ya msosi utaijulia wa wapi?
Jaribu kula chakula bila chumvi ndiyo utajua hata anayetumia pilipili yuko sahihi.
 

Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza pilipili sasa ladha ya msosi utaijulia wa wapi?
Faida za kula pilipili....

Kula pilipili kunaweza kuongeza ladha ya chakula, kusaidia digestion, na kuongeza mzunguko wa damu.

Pia, pilipili ina vitamini C na A, ambavyo ni muhimu kwa afya ya ngozi na mfumo wa kinga.

Hata hivyo, ni muhimu kula kwa kiasi, kwani inaweza kuwa na athari kwa watu wenye matatizo ya tumbo.
 
Back
Top Bottom