Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Tuliiona uchumi, nakumat na wengineo for the record they are under life supporting machine lit now in tz , weka akiba ya maneno budaa.
Mikononi mwa mjinga shoka ni mshindo basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliiona uchumi, nakumat na wengineo for the record they are under life supporting machine lit now in tz , weka akiba ya maneno budaa.
Basi hilo boma halikaliki,Baba na mwana wote vichaa tu,,,, Kumbe we ni wakogalo? sikukua nalifahamu hilo sasa nishalijua,,, Sasa Baba pingli-nywee hata hilo jina ni la huko tu,sasa hivi wewe ukatoroka kwenu ukaenda kuzaa kichaa kingine huko bongolala?? .
Ashakhum si matusi, lakini wewe ni lofa wa kupindukia! Nimekuacha usije ukamiambukiza ujinga wako bure. Gwito adu ta inyue tumetaga ng'odu.Basi hilo boma halikaliki,Baba na mwana wote vichaa tu,,,, Kumbe we ni wakogalo? sikukua nalifahamu hilo sasa nishalijua,,,
Chadema bhanaMkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Ashakhum si matusi, lakini wewe ni lofa wa kupindukia! Nimekuacha usije ukamiambukiza ujinga wako bure. Gwito adu ta inyue tumetaga ng'odu.
Eti nikutafte fb, we choko nini? Ninaofata fb ni toto wenye mikia pekee yake si watu na midevu yao. Point ya jamiiforums ni hoja si kuuza sura. Kila mtu ana maisha yake hapa. Hatujitangazi taaluma zetu na mali zetu sisi. Here in jf, nobody na care wey you have! Hata kama wewe ndo Jimmi Wanjigi mwenyewe hiyo ni siri yako! We ndo sampuli ya wakenya wanaotuletea aibu mbele ya jirani zetu watz. We ni lofa flani tu!Nyani haoni kundule ,eti waniita Mimi lofa? Lol !! naomba tukutane nikuoneshe maisha ninayo yaishi. nenda kwa Facebook account yangu utapata my contact hit me up boy,,haya majina ninayotumia hapa jf ndio majina yangu kamili ,I have no need to hide my identity cause I know who I'm ,look for me niggah we hook up.
Ashakhum si matusi, lakini wewe ni lofa wa kupindukia! Nimekuacha usije ukamiambukiza ujinga wako bure. Gwito adu ta inyue tumetaga ng'odu.[/QUOTE
kirabe nno kiri nga mana. emese ento.
Eti nikutafte fb, we choko nini? Ninaofata fb ni toto wenye mikia pekee yake si watu na midevu yao. Point ya jamiiforums ni hoja si kuuza sura. Kila mtu ana maisha yake hapa. Hatujitangazi taaluma zetu na mali zetu sisi. Here in jf, nobody na care wey you have! Hata kama wewe ndo Jimmi Wanjigi mwenyewe hiyo ni siri yako! We ndo sampuli ya wakenya wanaotuletea aibu mbele ya jirani zetu watz. We ni lofa flani tu!
Eti nikutafte fb, we choko nini? Ninaofata fb ni toto wenye mikia pekee yake si watu na midevu yao. Point ya jamiiforums ni hoja si kuuza sura. Kila mtu ana maisha yake hapa. Hatujitangazi taaluma zetu na mali zetu sisi. Here in jf, nobody na care wey you have! Hata kama wewe ndo Jimmi Wanjigi mwenyewe hiyo ni siri yako! We ndo sampuli ya wakenya wanaotuletea aibu mbele ya jirani zetu watz. We ni lofa flani tu!
We mzee usiniite mwanako mimi. Sikujui, kama unamatatizo yako mwenyewe utajipanga lakini acha kuchapia pumba, hapa kuna watu wenye akili zao timamu bana.
Mimi ni mkenya lakini si lazima nivumilie pumba kutoka kwa mkenya mbumbumbu kama wewe. Rudia hiyo comment nilosema watu wanawashwawashwa uone nilikuwa nawaambia nani. Wala si wakenya, lakini ulivochanganyikiwa na umbea wako pia unajibu tu bila kuwa na hoja. Kama unaaniita mtz kwasababu tu nilisema nimetizima tv station za tz na iwe hivo tu. Ubishi wangu ulikuwa quality ya media za tz wala si content ambazo wanazo freshi tu. Sikukujibu uliposema na arrogance eti hakuna mkenya ambaye anaezajisumbua kutizama station za tv za tz. We ndo nani utuchagulie sisi wakenya milioni kadhaa cha kutizama na cha kupuuza?
Mimi ni mkenya lakini si lazima nivumilie pumba kutoka kwa mkenya mbumbumbu kama wewe. Rudia hiyo comment nilosema watu wanawashwawashwa uone nilikuwa nawaambia nani. Wala si wakenya, lakini ulivochanganyikiwa na umbea wako pia unajibu tu bila kuwa na hoja. Kama unaaniita mtz kwasababu tu nilisema nimetizima tv station za tz na iwe hivo tu. Ubishi wangu ulikuwa quality ya media za tz wala si content ambazo wanazo freshi tu. Sikukujibu uliposema na arrogance eti hakuna mkenya ambaye anaezajisumbua kutizama station za tv za tz. We ndo nani utuchagulie sisi wakenya milioni kadhaa cha kutizama na cha kupuuza?
Hehe, haya basi kwa raha zako Engineer. Endelea kuchapa pumba zako. Naona baada ya mimi kukataa kukufata fb unaniita shoga, hehe sijui ulitaka nikufatie nini huko, boflo kabisa wewe. Umepata cha moto umeanza kuniquote mara mbili mbili. We itakuwa walikukaangia bange kama sukuma wiki ukiwa mtoto. Boflo chizi, dunia ina mambo kweli!
Haya basi nimeachia wanajukwaa nafasi yao waendelee na mjadala. Hamna haja ya maneno mengi.