Ujio mpya wa msanii 20% na wimbo wa 'Sitoi'

Daah 20%ulikuwa wap sikuzote hiziii nilimiss nyimbo kama hizi..."nilisema atoee, atoee kama hatoi asinijuee"... ujumbe kwa wanaume wote ambao wanakataa mimba na kukimbilia kuonyesha marafiki watoto wakizaliwa..he hehe angetoa ungeonyesha mdolii
 
Wimbo mzuri,ila anatakiwa habadilike sana kimuziki,lakini mimi ananikera huo muonekano wake yuko rafu rafu hata hajitunzi sijui ndio mibange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…