Ujio mpya wa muimbaji wa Rose Muhando umefufua matumaini mapya kwa washabiki wake

Ujio mpya wa muimbaji wa Rose Muhando umefufua matumaini mapya kwa washabiki wake

Nikishasikiaga tu maombi ya "shakarobo bobobosanda" huwa nakimbia spid meter 120 kwa saa 1 maana nahisi kuna ukakasi wa Roho Mtakatifu kujifunua jinsi ipasavyo kunenwa kwa lugha kama ilivyonenwa katika Biblia.
 
Hakuna kitu ambacho wazungu na Waarabu wametutenda kama kutuletea hizi dini zao. Waafrika wamejeruhiwa akili kabisa na wenyewe hawajijui.
 
Nikishasikiaga tu maombi ya "shakarobo bobobosanda" huwa nakimbia spid meter 120 kwa saa 1 maana nahisi kuna ukakasi wa Roho Mtakatifu kujifunua jinsi ipasavyo kunenwa kwa lugha kama ilivyonenwa katika Biblia.
Ukiangalia vizuri hapo Rose pekee ndiye aliyezama kwelikweli
 
Hilo swali gunu sana
Mi mimeshangaa sana kumuona ivo mtumishi wa bwana kwasababu kitambo nilikuwa namuona Dodoma alikuwa vizuri sana aliishi nyumba nzuri na kuendesha magari mazuri
 
Kama ameanzia huku basi atarudia yale yale
Gospel Music Wasafi hahahh maajabu Yesu Rudi Upesi Watu Wako Wanaangamia Kwa Kukosa Maarifa...
 
Mi mimeshangaa sana kumuona ivo mtumishi wa bwana kwasababu kitambo nilikuwa namuona Dodoma alikuwa vizuri sana aliishi nyumba nzuri na kuendesha magari mazuri
Ingia youtube ujionee mapito yake
 
Hakuna kitu ambacho wazungu na Waarabu wametutenda kama kutuletea hizi dini zao. Waafrika wamejeruhiwa akili kabisa na wenyewe hawajijui.
kuimba nyimbo za dini haimaanishi kuwa ni kweli uko katika imani ya dhati na dini


bali wapo huingia huko wakiwa ni wasaka riziki tu na wengine huchupa mipaka kwa tamaa za kidunia

dini hazipo vile tunavyoaminishwa kutokana na ujinga wetu ambao hatutaki kusoma maandiko ya dini
 
waimbaji wa nyimbo za dini wengi wao si wenye imani ya kweli katika dini.bali wapo kwa maslahi ya kidunia na kiuhalisia huwa na mengi machafu


nipo narejea kauli za mzee yusufu wa taarab alisema kuwa alikuwa muimbaji wa kaswida kisha akaingia katika taarab kisha akasema anarejea kwa mola wake na kuachana na taarab na makka alienda kuhiji ila tena sasa anarudi tena kwenye taarabu.




IMANI mahala pake ni moyoni wala sio mdomoni

TUACHENI UNAFIKI KATIKA DINI
 
waimbaji wa nyimbo za dini wengi wao si wenye imani ya kweli katika dini.bali wapo kwa maslahi ya kidunia na kiuhalisia huwa na mengi machafu


nipo narejea kauli za mzee yusufu wa taarab alisema kuwa alikuwa muimbaji wa kaswida kisha akaingia katika taarab kisha akasema anarejea kwa mola wake na kuachana na taarab na makka alienda kuhiji ila tena sasa anarudi tena kwenye taarabu.




IMANI mahala pake ni moyoni wala sio mdomoni

TUACHENI UNAFIKI KATIKA DINI
Kweli
 
Nikishasikiaga tu maombi ya "shakarobo bobobosanda" huwa nakimbia spid meter 120 kwa saa 1 maana nahisi kuna ukakasi wa Roho Mtakatifu kujifunua jinsi ipasavyo kunenwa kwa lugha kama ilivyonenwa katika Biblia.
Kuna kipindi huyo mdada alianza kunena..amashakarabobo amino foko noko...boko hololoo ....oy oy oy....da! nilichoka hatari yaani eti ndo kafurika na roho mtakatifu studio daa
 
Kuna kipindi huyo mdada alianza kunena..amashakarabobo amino foko noko...boko hololoo ....oy oy oy....da! nilichoka hatari yaani eti ndo kafurika na roho mtakatifu studio daa
Dada yupi?[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom