Stereo a.ka Africa son ( Salam toka jela, Mawaidha, Rafiki, Nitabaki juu n.k Namuitaga Tzania Hip hop Icon achana na wale mabundi weusi dawa sumu mbele ya roho.
Da mtamaduni...
Alianza kumlilia chemical mahewani.... Leo amekacha rasmi boom bap, R.I.P stereo, tulikupenda lakini usafini kumekupenda zaidi..... Pumzika kwa amani.