ElviceJunior
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 311
- 373
Mkuu kama Stereo ni Tanzania hip hop icon vp Fareed kubanda ni nani?Stereo a.ka Africa son ( Salam toka jela, Mawaidha, Rafiki, Nitabaki juu n.k Namuitaga Tzania Hip hop Icon achana na wale mabundi weusi dawa sumu mbele ya roho.
Google mkuuSterio amesha fanya nyimbo na Nikki Mbishi na Songa?
Ataendelea kurap-rap kapuni.Kwa kipaji cha nikk huwa natamani saana afike mbali.
Acha wivu wa kike.Hawa WCB washaanza kukeraa aisee na kuokota okoto hovyo wasanii
Haka kastereo hata hakafai kuwepo WCB
Huko kilingeni hakuna pesaKilingeni tumsahau
Washkaji zake sasa hivi ni harmonize na Chibu na shemeji zake ni zari na wolper
Tena ndiyo mambo yamekuwa mazuri zaidi.Stereo bila one Incredible mambo yataenda kweli? Yangu mie macho na masikio tu!
Uliwahi kulipa pesa na demu wako kwenda kwenye show ya sterio au nyie ndiyo wale mnapenda msikilize miziki ya masela geto tu wakati hawanufaiki na ushabiki wenu??Da mtamaduni...
Alianza kumlilia chemical mahewani.... Leo amekacha rasmi boom bap, R.I.P stereo, tulikupenda lakini usafini kumekupenda zaidi..... Pumzika kwa amani.
Mwaaanza MwaaanzaMkuu kama Stereo ni Tanzania hip hop icon vp Fareed kubanda ni nani?
Albam za hao kina nikki mbishi huwa unanunua ??Namuelewa stereo ila huu wimbo ni mbaya. Stereo, one, Nikki mbishi, songa, zaiid wanajua
Wakazi, Nash mc hamna kitu.
Waishe wote tu kule hakuna pesaKilingeni wameisha wote, amebaki nani Nash MC? Ila kumbukeni Stereo alishawahi kujaribu mainstream under AY akafeli, subiri tuone WCB
Ndiyo.Albam za hao kina nikki mbishi huwa unanunua ??
Record label inamlipaWapendwa naomba kuuliza.Hivi hawa wasanii wanapataje faida kwenye kazi zao.Niki6angalia gharama za maandalizi ni kubwa.Je wanategemea CD kuuza na kupata faida?Msanii anaandaa kazi yake Afrika ya kusini kwa mfano.Tiketi za ndege,hotel,nk.Kazi zao nazikuta kwenye google nadownload 'for free' au wanalipwa na google pia?Vituo vya redio na TV?