Ujio wa Aziz Ki una maana gani kwa Fei Toto?

Ujio wa Aziz Ki una maana gani kwa Fei Toto?

Fei mie namuona ni namba 8 zaidi kuliko 10, kama mwalimu akiamua kucheza 4 1 2 3, akiwa na double CM hapo atang'ara zaidi wakati babu kaju anasambaza upendo, yeye anawamaliza wapinzani kwa zile movements zake, dribbling na zile skills zake.

Huu ndio wakati sahihi fei aende nje nae akaimbwe huko, mpira anaujua, sijui shida ni nini haswa.

Mcheze 4123[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaribuni muone kitachowakuta...huu usajili wa sahizi mkija na huo mfumo mtajikuta mnashuka daraja
 
Mcheze 4123[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaribuni muone kitachowakuta...huu usajili wa sahizi mkija na huo mfumo mtajikuta mnashuka daraja
Unahisi mimi ni mshabiki wa timu gani?
 
Fei ni fei, hata aje De Bruyne ataimprove na watalisakata pamoja. Fei ananyumbulika
 
Back
Top Bottom