Aah! Mkuu usininyime kura yako bhana. Haya mastori yasikusababishe ukaikosa Tanzania ya asali na maziwa. Nina mipango kabambe ya kuipaisha hii nchi mkuu. Tayari nishaanza kufanya mawasiliano na wachumi wabobezi kutoka overseas ili wawe washauri wa sera za kiuchumi ili Tanzania iwe nchi ya upper middle economy ndani ya mhula wangu wa kwanza tu. Kampuni za magari nitazileta sifungue viwanda vya kutengeneza magari hapa hapa nchini. Maisha yatakuwa mtelezo balaa. Kwa hiyo hii stori isikufanye uninyime kura mzee.