Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Nimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na Rivers United, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na Al Hilal, naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.
Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga siyo mbovu, isipokuwa inakosa ile 'breakthrough moment' ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana. Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga huko mbeleni
Amini nakwambia, historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama 'turning point' ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndiyo itakua timu ya kwanza kuleta Kombe la CAF Championship/Confederation katika ardhi ya nchi hii.
Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana Masihi amerudi, mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.
Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga siyo mbovu, isipokuwa inakosa ile 'breakthrough moment' ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana. Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga huko mbeleni
Amini nakwambia, historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama 'turning point' ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndiyo itakua timu ya kwanza kuleta Kombe la CAF Championship/Confederation katika ardhi ya nchi hii.
Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana Masihi amerudi, mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.