Ujio wa Masihi katika Soka la Tanzania

Ujio wa Masihi katika Soka la Tanzania

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Nimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na Rivers United, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na Al Hilal, naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.

Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga siyo mbovu, isipokuwa inakosa ile 'breakthrough moment' ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana. Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga huko mbeleni

Amini nakwambia, historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama 'turning point' ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndiyo itakua timu ya kwanza kuleta Kombe la CAF Championship/Confederation katika ardhi ya nchi hii.

Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana Masihi amerudi, mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.
 
Nimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na rivers united, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na al hilal naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.

Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga sio mbovu isipokua inakosa ile breakthrough moment ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana.

Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga uko mbeleni

Amini nakwambia historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama turning point ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndio itakua timu ya kwanza kuleta kombe la CAF championship/confederation katika ardhi ya nchi hii.

Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana masihi amerudi mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.
Ubarikiwe sana [emoji120]
 
Nimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na rivers united, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na al hilal naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.

Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga sio mbovu isipokua inakosa ile breakthrough moment ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana.

Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga uko mbeleni

Amini nakwambia historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama turning point ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndio itakua timu ya kwanza kuleta kombe la CAF championship/confederation katika ardhi ya nchi hii.

Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana masihi amerudi mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.
Nabi aondoke au abaki.
 
Yanga misimu miwili mbele ataweza kucheza champions league sababu hata ukienda kidata unaona anabadilika mfano mwaka jana alitolewa round ya kwanza na rivers United ila msimu huu kaenda kutolewa round ya pili sio mbaya Kuna kitu kajifunza pressure tu za mashabiki ukija kwenye game za mtoano wa shirikisho unaona kabisa game ya kwanza ya taifa na ya pili uarabuni wamebadilika sana ukichanganya na game za makundi za shirikisho atakazo cheza msimu huu itamsaidia kweny game za ligi ya mabigwa msimu ujao Kifupi yanga wamebadilika ila tu Kwa sababu ya utani wa jadi ila tunajifanya tumekaza vichwa
 
Yanga misimu miwili mbele ataweza kucheza champions league sababu hata ukienda kidata unaona anabadilika mfano mwaka jana alitolewa round ya kwanza na rivers United ila msimu huu kaenda kutolewa round ya pili sio mbaya Kuna kitu kajifunza pressure tu za mashabiki ukija kwenye game za mtoano wa shirikisho unaona kabisa game ya kwanza ya taifa na ya pili uarabuni wamebadilika sana ukichanganya na game za makundi za shirikisho atakazo cheza msimu huu itamsaidia kweny game za ligi ya mabigwa msimu ujao Kifupi yanga wamebadilika ila tu Kwa sababu ya utani wa jadi ila tunajifanya tumekaza vichwa
Ni kweli mkuu
 
Mm ule mpira kwa Waarabu sitousahau maisha yangu yote. Yaani ni kitu ambacho sikutegemea. Nilidhani yanga atakua underdog na kupak basi. Kumbe bwana timu zinaogopa tu bure kucheza mpira ugenini utadhani mwenyeji ameingia uwanjani na mabomu.
Hata waarabu walishangilia ile sare kwa mkapa wakijua Yanga ataenda kuwa mnyonge kule kwao hata dakika za za mwanzo Yanga alipokua amekamata mchezo bado wakawa wanafikiri uko mbeleni watatulia hali ikawa tofauti mpka mwiaho wa game yanga hawapoi
 
Manara aliwahi kusema ""mashabiki wa yanga kama hamnazo hivi""
 
Nimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na rivers united, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na al hilal naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.

Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga sio mbovu isipokua inakosa ile breakthrough moment ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana.

Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga uko mbeleni

Amini nakwambia historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama turning point ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndio itakua timu ya kwanza kuleta kombe la CAF championship/confederation katika ardhi ya nchi hii.

Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana masihi amerudi mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.

Acha kukufuru Dini za watu. Usifananishe Masiha na kitu chochote
 
Back
Top Bottom