Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ndio,kama alivyo DinhoAcheni jamani kufuru Yanga hii ndo ya kufananisha na masihi [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio,kama alivyo DinhoAcheni jamani kufuru Yanga hii ndo ya kufananisha na masihi [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mgunda aondokeNabi aondoke au abaki.
Hapo kwenye breakthrough nakukubaliaNimeiangalia Yanga ya msimu jana iliyotolewa na Rivers United, nimeiangalia Yanga ya msimu huu iliyotolewa na Al Hilal, naweza kusema timu haikua mbovu isipokua ilikosa imani.
Nilishawahi kusema linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga siyo mbovu, isipokuwa inakosa ile 'breakthrough moment' ya kuwafunulia wachezaji na kuamini kwamba inawezekana. Sioni tena ni kwa namna gani wapinzani wataweza kuizuia Yanga huko mbeleni
Amini nakwambia, historia italikumbuka goli la Aziz Ki kama 'turning point' ya wananchi katika michuano ya kimataifa. Nakuakikishia Yanga ndiyo itakua timu ya kwanza kuleta Kombe la CAF Championship/Confederation katika ardhi ya nchi hii.
Watanzania tembeeni kifua mbele kwa maana Masihi amerudi, mkombozi wa soka letu amekuja kuleta makombe ya kimataifa na kuondoa ule utamaduni wa jirani kushangilia kufika robo fainali.