Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Ukweli mchungu, ila tokea utambulisho wa simu janja(smart phone) kwakweli kuna baadhi ya mambo/vitu vimeanza kukosa ushabiki kwa kasi ya hatari sana.
Ni ukweli usiopinginga vitu kama kuasikiliza muziki, kuangalia movie, kuangalia TV naona kila UCHWAO ushawishi unazidi kushuka kwa kasi sana. Sasa hivi hata wasanii (wanamuziki) hawafuatiliwi kabisa pindi wanapotoa nyimbo zao tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Tuje kwenye television ndio kabisa I nafika hatua watu hata kulipia king'amuzi wanaona ni kupoteza hela tu na nguvu kuziwekeza kwenye simu janja (smartphone).
Huko kwenye upande wa redio ndio kabisa, yaan sasa hivi watu wanachosikiliza ni kipindi cha michezo tu, na kikubwa kinachowapeleka huko sio kuasikiliza uchambuzi bali ni umbea wa SIMBA na Yanga, kikiisha basi kila mtu anageuza kitako na kuachana na redio na kuendelea na simu yake.
Sijagusia kwenye magazeti, majarida, Internet cafe na N.K.
NAITAZAMA MIAKA 10 IJAYO YA SMARTPHONE, SIJUI TUTAKUWA WAPI. "" maendeleo hayana chama ""
Ni ukweli usiopinginga vitu kama kuasikiliza muziki, kuangalia movie, kuangalia TV naona kila UCHWAO ushawishi unazidi kushuka kwa kasi sana. Sasa hivi hata wasanii (wanamuziki) hawafuatiliwi kabisa pindi wanapotoa nyimbo zao tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Tuje kwenye television ndio kabisa I nafika hatua watu hata kulipia king'amuzi wanaona ni kupoteza hela tu na nguvu kuziwekeza kwenye simu janja (smartphone).
Huko kwenye upande wa redio ndio kabisa, yaan sasa hivi watu wanachosikiliza ni kipindi cha michezo tu, na kikubwa kinachowapeleka huko sio kuasikiliza uchambuzi bali ni umbea wa SIMBA na Yanga, kikiisha basi kila mtu anageuza kitako na kuachana na redio na kuendelea na simu yake.
Sijagusia kwenye magazeti, majarida, Internet cafe na N.K.
NAITAZAMA MIAKA 10 IJAYO YA SMARTPHONE, SIJUI TUTAKUWA WAPI. "" maendeleo hayana chama ""