TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
1] Kwani mimi ni babysitter huko Cleveland au New York?
2] Hao ma housegirl wa Dar au Mwanza ushawahi kuwauliza wanajisikia fahari gani kuwa ma housegirl?
3] Kuna ubaya gani kuwa babysitter wa watoto au kuwatunza mataahira huko LA?
4] Mataahira siyo binadamu? Hawastahili matunzo? Na watu wanaowatunza siyo binadamu wenye thamani?
5] Wewe ni mpuumbavu, zumbukuku, na zuzu kwa mpigo!
6] Jali maisha yako. Ya wengine waachie wenyewe.