1] Kwani mimi ni babysitter huko Cleveland au New York?
2] Hao ma housegirl wa Dar au Mwanza ushawahi kuwauliza wanajisikia fahari gani kuwa ma housegirl?
3] Kuna ubaya gani kuwa babysitter wa watoto au kuwatunza mataahira huko LA?
4] Mataahira siyo binadamu? Hawastahili matunzo? Na watu wanaowatunza siyo binadamu wenye thamani?
5] Wewe ni mpuumbavu, zumbukuku, na zuzu kwa mpigo!
6] Jali maisha yako. Ya wengine waachie wenyewe.
aya basi naona povu linatoka sasa lakini tumechoka na U.S.A baby dont mind ma nigger you still the special one in jf tchaoo
Dah hao wote siwajui, Labda Bill gates, John legend ndo nnaowajua walowahi kujaAlikuja Zanzibar mwaka juzi Kerry Washington aliyecheza Django unchain, series ya scandal, little man na nyingine nyingi tu, lakini alikataa kupiga picha na mtu yoyote, alikuwa na mumewe mcheza NFL Nnamdi Asomugha raia wa Nigeria anayeishi marekani, ila Danny Glover alikuwa anapiga picha na yoyote tu, na hata Adewale Akinnuoye-Agbaje ( Mr. Ecko kwa series ya LOST alikuja mwaka jana ) walikuwa wako ok kupiga picha na yoyote, ila Ecko alikuwa selective,
Kumbe alikuwa anamaanisha kwenye ile Season 4 (or 3 kama sikosei) kwamba, katika kumkwepa Fitz, akaamua kwenda Zanzibar na Jake Ballard wake...Alikuja Zanzibar mwaka juzi Kerry Washington aliyecheza Django unchain, series ya scandal, little man na nyingine nyingi tu, lakini alikataa kupiga picha na mtu yoyote, alikuwa na mumewe mcheza NFL Nnamdi Asomugha raia wa Nigeria anayeishi marekani, ila Danny Glover alikuwa anapiga picha na yoyote tu, na hata Adewale Akinnuoye-Agbaje ( Mr. Ecko kwa series ya LOST alikuja mwaka jana ) walikuwa wako ok kupiga picha na yoyote, ila Ecko alikuwa selective,
Akaribie tu........
ametumia fursaunajisikia fahari gani kuwa baby siter cleveland au even new york or LA kuwatunza mataira na watoto kuliko kuwa mkulima wa matikiti kisarawe au mchele kyela
Yap yap.......Nitafute tafadhali maana nimekumiss balaa! Si unapajua pakunipata...???
PoaYap yap.......