Sisi mpango wetu mwaka 2050 walao watoto wetu wawe wana pata ubwana shuleni!!Mpango wa China ni kuhakikisha by 2050 Afrika iwe na Wachia milioni 500 wakati ninyi hamna mkakati wowote ule wakuhakikisha mna exist
Kasome sheria ya kumiliki ardhi mkuu, pamoja na Katiba ya nchi. Kuna mhindi alikuwa anamiliki maeneo makubwa sehemu za Mwanza alipogundulika ana uraia wa UK alinyang'anywa maeneo instantly.Ushahidi wa kutouziwa maeneo kwa 99 years
Sheria zipo tena very clear.. Lakini kwa ground mambo ni tofauti kabisa trust me.. Nipo field najua ninachokiongeaKasome sheria ya kumiliki ardhi mkuu, pamoja na Katiba ya nchi. Kuna mhindi alikuwa anamiliki maeneo makubwa sehemu za Mwanza alipogundulika ana uraia wa UK alinyang'anywa maeneo instantly.
Mkuu hata sisi tupo field kama wanafanya kinyume na sheria itakula kwao. Nimekupa mfano wa yule mhindi ambaye alinyang'anywa mashamba kwa kuwa alikuwa na uraia wa UK.Sheria zipo tena very clear.. Lakini kwa ground mambo ni tofauti kabisa trust me.. Nipo field najua ninachokiongea
Nanukuu: ".......makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. "Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Kuna uwezekano wanatumia sheria ya uwekezaji ambayo inamruhusu kumiliki ardhi kwa ajili ya uwekezaji tu pamoja na masharti mengine.Karibu Pwani ujionee maajabu
DahSisi mpango wetu mwaka 2050 walao watoto wetu wawe wana pata ubwana shuleni!!
Nipe mfano mmoja tu wa mchina anayefuata utaratibu kwa asilimia 100Nanukuu: ".......makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. "
Mimi nnavyojua Kupora ni kuchukua kitu kisicho mali yako kwa nguvu au kwa ujanja(Maarifa). Kama hao laki tatu watafuata utaratibu uliowekwa kisheria sidhani kama wanastahili kuitwa ni Waporaji.
Wanajenga vingi sana lakiniWajenge viwanda vya uzalishaji sio wake kuwa wachuuzi. Serikali muwe makini mazee isiwe another version ya DP.
umechelewa sana mkuu...siku hizi fursa inakuwa ni ya watu flaniNi ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Iko hivi madalali wa kichina wana watu wao.. Wanawalipa 1M kwa ajili ya kusimama kama wanunuzi.. Kisha wakishanunua ndio wanasajili kampuni na kumpa mbongo adilimia chini ya kumiKuna uwezekano wanatumia sheria ya uwekezaji ambayo inamruhusu kumiliki ardhi kwa ajili ya uwekezaji tu pamoja na masharti mengine.
Unataka kusema hao Wachina wote waliojazana hapo Dar ni "wazamiaji" au wapo hapa nchini kimagumashi? Mbona hawakamatwi?Nipe mfano mmoja tu wa mchina anayefuata utaratibu kwa asilimia 100