Ujue kwa undani Uwekezaji wa Sunranch Tanzania

Ujue kwa undani Uwekezaji wa Sunranch Tanzania

Jisajili hapo juu
Bei ya bata ni Tsh 25000, utapata 1000 kila siku, na mapato ya jumla ni 60000 ( halali kwa siku 60)

Bei ya sungura ni Tsh 75000, utapata Tsh 3100 kila siku, na mapato ya jumla ni 279,000(halali kwa siku 90)

Bei ya mbuni ni 190000, utapata Tsh 7600 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 1,368,000( halali kwa siku 180)

Bei ya mamba ni 500000, utapata Tsh 20000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 3600000( halali kwa siku 180)

Bei ya ng'ombe ni Tsh 1500000, utapata Tsh 60000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 12600000( halali kwa siku 210)

Bei ya farasi ni 2900000, utapata Tsh 116000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 34800000 ( halali kwa siku 300)

Bei ya sika kulungu ni Tsh 68000000, utapata Tsh 280000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 102200000 ( halali kwa siku 365)

Bei ya bata bukini(goose) ni Tsh 50000, utapata Tsh 2000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 180000 ( halali kwa siku 90)
Mawasiliano nicheki 0756777266
Hivi hiki ulichokiandika hapa, hata wewe mwenyewe unakielewa kweli!!!!
 
Jisajili hapo juu
Bei ya bata ni Tsh 25000, utapata 1000 kila siku, na mapato ya jumla ni 60000 ( halali kwa siku 60)

Bei ya sungura ni Tsh 75000, utapata Tsh 3100 kila siku, na mapato ya jumla ni 279,000(halali kwa siku 90)

Bei ya mbuni ni 190000, utapata Tsh 7600 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 1,368,000( halali kwa siku 180)

Bei ya mamba ni 500000, utapata Tsh 20000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 3600000( halali kwa siku 180)

Bei ya ng'ombe ni Tsh 1500000, utapata Tsh 60000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 12600000( halali kwa siku 210)

Bei ya farasi ni 2900000, utapata Tsh 116000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 34800000 ( halali kwa siku 300)

Bei ya sika kulungu ni Tsh 68000000, utapata Tsh 280000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 102200000 ( halali kwa siku 365)

Bei ya bata bukini(goose) ni Tsh 50000, utapata Tsh 2000 kila siku, mapato ya jumla ni Tsh 180000 ( halali kwa siku 90)
Mawasiliano nicheki 0756777266
Ukiona mtu anaandika figures bila kutenganisha ,000,000 ujue hakuna kitu hapo.

Wajinga ndio waliwao
 
Waache waendelee kuuponda. Wabongo ujuaji mwingi. Kila siku kuilaumu tu serikali kuwa maisha magumu.
Hizo ndo akili za watu maskini mda wote wanaona wanaibiwa.
 
maana watu waliotoa laki 6 hadi sasa ni kama watu 1200, sasa lak 6 x 1200 ni 720,000,000.

Wao watoe milioni 6 x watu 1200 , = 7,200,000,000 ni bilion saba na milioni 200.

Sasa ukichukua bilioni 7 utoe milion 700 ,ni bilion 6 na point ,et waitoe tu for free, hapo ndipo
 
maana watu waliotoa laki 6 hadi sasa ni kama watu 1200, sasa lak 6 x 1200 ni 720,000,000.

Wao watoe milioni 6 x watu 1200 , = 7,200,000,000 ni bilion saba na milioni 200.

Sasa ukichukua bilioni 7 utoe milion 700 ,ni bilion 6 na point ,et waitoe tu for free, hapo ndipo
Upuuzi mtupu
 
Hmn ile sun ranch tumepigwa...mm n mhanga...nmepigwa million 4...na nlkuwa nmekopa...siamn macho yangu..hela zetu hatujalipwa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa kweli mpigwe tu hakuna namna.

Haya mambo ya utapeli hapa JF yameshaongelewa sana ila watu bado hamuamini
 
Back
Top Bottom