Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

ghalama za TMJ zikoje mkuu kwa tatizo kama hili nikienda kupima..
 
kaka nimefanya hivyo nimekitumia kitunguu swaumu tena mara mbili coz niliwahi soma humu jamvini kuusu huu ushauri but hazikuisha wala nini now zipo tena
Mkuu MGASON Tumia Kitunguu saumu kwa muda wa wiki moja kisha uje hapa utupe feedback sio unatumia siku moja au mbili tu.
 
Last edited by a moderator:
nenda kafanye kipimo cha full blood picture kama unavyoshauriwa mkuu. Hapo utajua kiini cha tatizo.
 
Wanajamvi Naomba mnisaidie...naamini wapo madaktari hapa...
Mke wangu ana mimba ya miezi 5...sasa hivi ana wiki unusu tangu amepata ugonjwa wa mapunye(mashilingi) tulienda hospital akapewa whitefield ya tube hata hivyo yapata wiki tangu kaanza kutumia mafanikio hamna ila yanazidi kusambaa mwilini!!! Naomba mnisaidie kwa wale wenye uelewa juu ya hili kuhusu dawa sahihi kwa kipindi kama hiki,
Alamsiki!!!
 
Mapunye kichwani na mwilini:

Chuma papai changa mpake utomvu katika mapunye mara moja tu yataisha.

Njia ingine hii hapa
Jinsi ya kuondoa mba kwenye ngozi ya uso

Mbegu za papai ni dawa ya asili inayoweza kutibu ngozi yako na kukuondolea tatizo la kuwashwa au mabaka yanayokukabili.

Unachotakiwa kufanya ni kuzipondaponda na kujipaka kwenye eneo lililoathirika na mba. Hii itasaidia kuondoa ugonjwa huo

na kuiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye afya nzuri.

 

Haya! nimeirudisha hii nyuz kwa kukumbushana matumiz ya vitunguu swaum!
 
Mkuu MGASON Tumia Kitunguu saumu kwa muda wa wiki moja kisha uje hapa utupe feedback sio unatumia siku moja au mbili tu.

na inawezekana pia ugonjwa wake umekuwa sugu kwa kutumia dawa nusunusu. kuwa makini mgonjwa, maliza dozi, kama huelewi uliza.
 
Last edited by a moderator:
na inawezekana pia ugonjwa wake umekuwa sugu kwa kutumia dawa nusunusu. kuwa makini mgonjwa, maliza dozi, kama huelewi uliza.
Unajuwa kuna watu wengine tunawapa dawa na ushauri wanadharau mpaka waende Hospitali

watowe pesa za kuwapa Ma Daktari ndio wanaweza kuamini na kufuata ushauri wa Ma-Daktari lakini hapa ninawasaidia watu kuwapa

dawa za bure na ushauri wa bure hawaufuati ahhhhhhh Wa-Tanzania tuna matatizo sana.
 
Nyinyi ndo mna matatizo ushauri wenu hauna uhakika na pia ni nusu nusu kwa mfano huko juu mlimshauri hivi
akishakula hivyo vitunguu swaumwu "Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi
kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo
hakuna tena na fungus wote wamekauka!
Kwisha kabisa!!!!" haya yey amekaa baada ya dk 15 hali haijarud kawaida pia baada ya siku 1 minyoo iko palepale na fungus hawajakauka. Sasa ye si ndo alichokiona na si akawapa feedback kama alivyoelekezwa!!! kuweni makini sana na dawa zenu dawa yoyote iwe ya asili au nyengineyo hakikisha unaifanyia utafiti usiopungua miaka mitano kwa wagonjwa wengi wa namna mbalimbali na uweke matokeo yako katika takwimu na mkumbuk kuwa TIBA YA ASILI NI TIBA YA MWILI PIA msiwe na dhana ya kuwa tiba ya asili ni ya kisaikolojia.
 
hali itarudi kawaida ya kutosikia kutotapika na kichefuchefu kiswahili wewe kinakugonga nini? unatoka mji gani hapo Tanzania? Dawa unatakiwa utumie siku 3 au siku 7 sio siku moja. kuna dawa gani ukatumia siku 1 ukapona? Kama huelewi kwanini huulizi Maswali? umekatazwa usiulize kwani Maswali?
 
Dr mara kwa mara nimekuwa nikiona vijana wengi wakihangaika na dawa mbalimbali bila kupata tiba ya ugonjwa wa ngozi-mba bila kupona.naomba uje walau na jibu la kudumu.cc-mzizimkavu
 
Jamani msaada kwa anayejua dawa nzuri ya mba,,Iwe ya kienyeji au vyovyote,,naombeni ushauri...
 
Tafuta mafuta yanaitwa confidence,yapo kwenye kopo dogo jeupe,mba zitakua historia kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…