Sammy
Senior Member
- Jul 19, 2014
- 132
- 58
Ndugu zangu naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu!
Mimi nasumbuliwa sana na mba mwili mzima na isitoshe huwa nikitoka kuoga ninawashwa mwili mzima na inachukua kama dakika 30 ndo inapungua kuwashwa na hili tatizo lina muda mrefu kama zaidi ya miaka 5.Ninaomba msaada wenu kama kuna yeyote humu ndani aliyewahi kupata hili tatizo na akapata ufumbuzi wake au anaye jua ni dawa gani zinatibu hili tatizo anisaidie! Wanasilisha kwenu wana JF!
Mimi nasumbuliwa sana na mba mwili mzima na isitoshe huwa nikitoka kuoga ninawashwa mwili mzima na inachukua kama dakika 30 ndo inapungua kuwashwa na hili tatizo lina muda mrefu kama zaidi ya miaka 5.Ninaomba msaada wenu kama kuna yeyote humu ndani aliyewahi kupata hili tatizo na akapata ufumbuzi wake au anaye jua ni dawa gani zinatibu hili tatizo anisaidie! Wanasilisha kwenu wana JF!
