Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Nimekua nikihangaika sana wakuu kwa kutafuta ni dawa gani itanisaidia lakini nimefikia kuambulia matokeo mabovu..nimeshatumia vidonge mwezi mzima lkn ni kma nachochea..unaanzia kichwani mpaka usoni kote mpaka kifuani na mgongoni.. msaada wenu tafadhali wataalamu Wa ngozi.
Ni pm. Ila kama unaishi dar whatsapp maana huko kwenu maji ya kisima full magadi
 
Dawa ya kutibu Maradhi ya ugonjwa wa ngozi uchukuwe tango ulioshe vizuri kisha utengeneze juisi ya matango juisi hiyo uitengeneze lakini bila kumenya maganda ya matango na uwe unakunywa asubuhi kikombe kimoja mchana kikombe kimoja na jioni na pia uendelee kutafuna matango bila ya kumenya kwa uwezo wa Mwenyeezi Mungu ugonjwa wako utapona. tumia hii dawa kisha unipe Feedback

Tiba ya mba kwa kutumia mbegu za papai

Mbegu za papai tiba ya mba

Pia mapapai yaliyoiva yanatibu mapunye (ringworm), mabichi yanatibu msukumo mkuu wa damu (high blood pressure), mapapai yanatumika kama mkuyati (aphrodisiac), yanatumika kama kituliza maumivu (analgesic), mbegu za mapapai zinapunguza maumivu ya tumbo (stomachache)

Mba au mabaka mabaka kwenye ngozi ni miongoni mwa mambo yanayosababisha ngozi kukosa muonekano mzuri na hata kumfanya mhusika mwenye matatizo kujikuta akijikuna kila wakati.

Kitaalamu mba ni aina mojawapo ya magonjwa yanayoambukizwa na fangasi ambao husababisha muwasho.

Wanawake wengi wanakumbana na matatizo haya ya mba, kutokana na kupaka aina ya vipodozi vinavyowaletea athari katika ngozi zao.

Unapokumbana na tatizo la namna hii ni vizuri kujipaka dawa zinazofaa badala ya kutafuta krimu ambazo ni hatari zaidi. Mbegu za papai ni tiba nzuri na ya asili ambayo haiwezi kukuletea madhara zaidi.

Jinsi ya kuondoa mba kwenye ngozi ya uso

Mbegu za papai ni dawa ya asili inayoweza kutibu ngozi yako na kukuondolea tatizo la kuwashwa au mabaka yanayokukabili.

Namna ya Kutumia kama ni Dawa Mbegu za Papai.

Unachotakiwa kufanya ni kuzipondaponda na kujipaka kwenye eneo lililoathirika na mba. Hii itasaidia kuondoa ugonjwa huo na kuiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye afya nzuri.

Unaweza kutumia krimu maalum za kuondoa mba hizo, zinapatikana katika maduka ya dawa, lakini unachopaswa kufanya ni kufuata masharti na kupaka kwa umakini kwenye sehemu ilioathirika.

Waweza pia kutumia sabuni maalum ya maji, shampoo, poda na hata baadhi ya losheni zote hizi zinaweza kuisafisha ngozi yako na kuifanya iondokane na muwasho unaokukera na wakati huo kuiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye kuvutia.



Kitunguu swaumu pia ni dawa ya fangasi
mkuu hichi ilichokiandika hapa kuhusu Mba ni kweli? Mana nasumbuliwa na mba wa ngozi hususani kifuani nimepaka dawa, nimemeza vidonge lakini wapi sijapona
 
Iodine ni dawa bora kwa mba na fungus.. Ni dawa bora kuliko dawa nyingine zote unazozifahamu.. Asubuhi nilikuwa nawashwa na fungus kwenye pumbu.. Nimepaka iodine kwa mbali sasa hivi shwaari kabisa.. Iodine haina mjadala kwa fungus wala bacteria.. (angalizo.. Dawa hii ni kali sana hasa kwenye pumbu.. Ukipaka hakikisha unapaka kwa mbali mbali. Ukipaka nyingi utatamani upige 'vigele gele'...)
 
Iodine ni dawa bora kwa mba na fungus.. Ni dawa bora kuliko dawa nyingine.. Asubuhi nilikuwa nawashwa na fungus kwenye pumbu.. Nimepaka iodine kwa mbali sasa hivi shwaari kabisa.. Iodine haina mnadala kwa fungus bac wala bacteria.. (angalizo.. Dawa hii ni kali sana hasa kwenye pumbu.. Ukipaka hakikisha unapaka kwa mbali mbali. Ukipaka nyingi utatamani upige yowe)
iodine naifahamu sana ila ckujua kama inatibu mba na ntaipaje ndugu yangu. Mana hiyo ni chemical
 
ila ni dawa...... kwan yana madhara?

Mafuta ya breki yapi? Yanayo tokana na mineral oil au Castor Oil? Kama Castor oil basi hayo yanatokana na mbegu za nyonyo - nasikia mafuta yanayo tokana na mbegu za nyonyo utibu magonjwa mengi.
 
Nimekua nikihangaika sana wakuu kwa kutafuta ni dawa gani itanisaidia lakini nimefikia kuambulia matokeo mabovu..nimeshatumia vidonge mwezi mzima lkn ni kma nachochea..unaanzia kichwani mpaka usoni kote mpaka kifuani na mgongoni.. msaada wenu tafadhali wataalamu Wa ngozi.
Nenda pale TMJ muone Specialist wa ngozi. Ni dawa za wiki moja tu unasahu. Unahangaika si kwq sababu ugonjwa hautibiki, hujapata daktari (anayejua tiba yake)
 
mkuu hichi ilichokiandika hapa kuhusu Mba ni kweli? Mana nasumbuliwa na mba wa ngozi hususani kifuani nimepaka dawa, nimemeza vidonge lakini wapi sijapona
saga septrin za buku halafu uchanganye na mafuta mgando..uwe unalala sehemu yote kwa muda wa week mbili then usipopona leta mrejesho hapa...
 
Chukua maganda ya ndizi mbichi yakaushe then takishskauka chukua na yachome,baada ya kuyachoma yaloweke kwenye maji chuja vema then yachemshe na yabaki maji kidogo.then ipua na hapo tayari kwa matumizi.tumia kujipaka asbh,mchana na jioni.nakuhakikishia wiki moja mba zote kwishaa kabisa.kama hujaelewa uliza ndg nikusaidie.
Kwa hiyo analoweka majivu ya maganda ya ndizi mbichi yaliyokaushwa? Sijakupata vizuri mkuu!
 
mafuta ya brake.nimecheka sana unaweza ona ubongo unaanza kufunga brake
 
Nenda kko kwenye maduka ya asili nunua kibiriti upele n dawa iko ya unga ya rangi ya njano pakti linauzwa buku tu...unanunua na mafuta ya vaselin ya mgando ama ya nazi (ambayo hayana kemikali) unachota kidogo unachanganya unakuwa unajipaka ...dawa hii hata kama unafangasi za miguu ..miguu inanuka,, ugonjwa wa mashilingi kwa watt,, mba sehem zote inapaka ....paka asubuh na jion ukiwa ushaoga...pil usitumie sabun zenye kemikal kali kuoga tumia hata mbuni tu ,,, wik tu utuletee mrejesho...
 
Kwa hiyo analoweka majivu ya maganda ya ndizi mbichi yaliyokaushwa? Sijakupata vizuri mkuu!
Maganda ya ndizi yaliyokaushwa yachomwe.baada ya kuyachoma utapata majivu,sasa hayo majivu ndo unayaweka maji kisha chuja baada ya hapo chemsha kwa muda kiasi na dawa itakua tayr..
 
Back
Top Bottom