IlangiKwetu
Member
- Oct 9, 2014
- 85
- 33
Heshima mbele wakuu,
Tafadhali nimepatwa na huu ugonjwa mgongoni kwa mabegani hivi na ndo unaanza
Watu8 MziziMkavu tafadhali katika hili
Tafadhali nimepatwa na huu ugonjwa mgongoni kwa mabegani hivi na ndo unaanza
- Nini chanzo chake?
- Nawezaje kupona? Nitumie dawa gani?
Watu8 MziziMkavu tafadhali katika hili
Last edited by a moderator:
