ARMs14
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 316
- 233
Hapana mkuu mafuta ya brake haya athari hizo.hio dawa kabisa ya mba.mafuta ya brake.nimecheka sana unaweza ona ubongo unaanza kufunga brake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu mafuta ya brake haya athari hizo.hio dawa kabisa ya mba.mafuta ya brake.nimecheka sana unaweza ona ubongo unaanza kufunga brake
Asante.Ni tba ikiwa hujawa sugu
AsanteMaganda ya ndizi yaliyokaushwa yachomwe.baada ya kuyachoma utapata majivu,sasa hayo majivu ndo unayaweka maji kisha chuja baada ya hapo chemsha kwa muda kiasi na dawa itakua tayr..
kama ni tatizo sugu muone daktari akuandikie corti steroid cream, uzuri wake inaondoa hilo tatizo mara moja lakini ubaya wake haifai kutumia muda mrefu, inafanya ngozi iwe nyepesi ukitumia muda mrefu.habari jamani.Nimetumia gentrisone lakin sion ahueni leo siku ya nne.Anaefaham dawa ya haraka ya kutibu mba usoni anisaidie
Si tatizo sugu limeanza wiki iloishakama ni tatizo sugu muone daktari akuandikie corti steroid cream, uzuri wake inaondoa hilo tatizo mara moja lakini ubaya wake haifai kutumia muda mrefu, inafanya ngozi iwe nyepesi ukitumia muda mrefu.
Sio lazima Uzungumze Jus Because Unayo Bundle. Sawa Kijana.Si uweke wazi taarifa zote muhimu? Umekuja na majitambo na majigambo kibao ili ukawatapeli watu PM!
we nawe si utujuze sote kwa faida yetu sote ukojeNimesumbuliwa na Ugonjwa huo kwa mda Mrefu ., nilikua nashauriwa Kutumia Vitu vingi sana ila tatizo lilibaki. Hatimaye nimepata ufumbuzi , ndani ya Week tu Ngozi yangu Imerudi Mahala Pake.
Nadhani wengi mnaelewa ilivyo karaha kuupata huo Ugonjwa.
Ni PM kama Utahitaji Dawa Hiyo.
utakuwa tapeli weweMwenye Shida atafuata Maelekezo
Maisha bila kua Tapeli hayaendi .utakuwa tapeli wewe