Ujue ukweli kuhusu NASA

Hata kama ulikuwa unajaribu kumconvis mtu akuamini akifika hapa anaghair.
Hizo sayari nyingine umewahi kuziona ? Kama umewahi kuziona umeziona kupitia njia gani ? Ya ana kwa ana.

Kama ni kinyume kipi kinafunya wewe uamini uwepo wa sayari hizo ?

Mkipata muda fatilieni ishu za CGI muone watu walivyo fika mbali katika kuvipa vitu vya kufikirika uhalisia.
 
Mleta mada tembelea siku moja baharini kisha tupa macho kule mbali kabisa ambapo usawa wa meli huwa zinaonekana zinaelea na kuendelea na safari..., baadae hupotea machoni kabisa na huonekana kama zimedumbukia kusikojulikana. Uliwahi kujiuliza huwa zinadumbukilia wapi?! Una level gani ya elimu kijana?! Au ndo wale mnaoshindaga vijiweni kudanganyana na waendesha bodaboda na vijana wengineo hopeless mitaani?! Nani alikwambiaga dunia ni flat?! Na hakuna sayari zingine?!... Jichangechange usafiri uende hata dubai ukiwa angani chungulia dirishani utagundua kitu kama ulienda shule lakini... kama hukwenda utajionea sisimizi tu na visivyoeleweka.

Haya tukienda kwenye maswala ya NASA... ulidanganywa na nani hayo unayoyaongea hapa?! Unafkiri mambo nyeti ya kijeshi, ulinzi na usalama ya mataifa mengine tena makubwa kama hayo huvuja kiurahisi mpaka uje kujua wewe uliyepo machokoroni huku?! Ukianzisha mada kama hizi, leta mada kama hujui chochote act kama unahitaji kujua na kuelekezwa kisha waje ambao hawakukimbia umande watiririke upate chochote kitu (elimu bure mtandaoni)

Okay! Wewe unayesema zile picha za mwezini ni za kutengenezwa... palikuwapo programu za kutengeneza picha mitandaoni miaka hiyo?! Unajua hao wendawazimu (wamarekani na wazungu wengine) walitangaza kwenda huko mwaka gani?! Je! Kipindi hicho palikuwapo hizo programu? Vijana wa kiafrika mnaumiza sana! 😣😔 hivi matoto yetu yana nini jamani?! 😭😭😭

India waliwahi kutangaza kujiandaa kwenda mwezini ifikapo mwaka 2030... walitangaza mnamo mwaka 2013 Rais wa marekani kipindi hicho alipofanya ziara yake nchini humo, wakazungumza maswala ya sayansi india nao hawakubaki nyuma wala kusita kusema mipango yao.....

inamaana na wao India wanajiandaa kutudanganya na kujikweza?!?!

Nyinyi mnaopinga hao walioenda mwezini njoeni na hoja nzito zenye mantiki za kutetea upumbavu wenu usio na maana!

Tafuta tuition usome fizikia na jiografia.
 
we endelea na huo upumbavu wako ila tu usije kuwaambukiza watoto. Huna hata haya kuleta upupu km huu?
 
na kuna sheria zinalindwa ili watu wasifaham lolote kuhusu flat earth.
 
Kwahyo hao NASA wanashirikiana na space agencies za china, india, russia kudanganya dunia? Mbona mnapenda kutumia kichwa kama matako?
 

Uko vizuri
 
Huna akili
 
wajinga Watakubishia ila hicho unachosema ni Ukweli wa Asilimia 100, Earth is Flat Na kuhusu kwenda mwezini nayo umesema ukweli hakuna aliyewahi kwenda mwezini wala hakuna mtambo wowote unaoweza kukanyaga mwezini.

Watu wasichokijua ni kwamba mwanadamu kapewa Leseni na Hati miliki ya kuzunguka hii dunia atakavyo ila Sio kwenda mwezini wala kweny Jua au nyota hiyo haiwezekani.

Hata kam watakupinga uzi mzima ila mi naujua huu ukweli kitambo sana na Nina evidence kibao sema naona uvivu kuanzisha uzi kuelezea hayo mambo maan ni Mengi mno sku nkifungua uzi ntakutag Ndugu yangu ila wakuamini kwa evidence wanazozitaka
na kuna sheria zinalindwa ili watu wasifaham lolote kuhusu flat earth.
Kabsa mkuu
 
Sasa kama ni flat mwisho kuna nini na kama ni duara, je unaweza kwenda kwa chini ya hilo duara?
hapo kwenye hilo barafu kuna mpaka, ambao binadam haturuhusiwi kuuvuka. kuna baadhi ya makubaliano yameekwa. na hyo ramani haijakamilika.
 
hata hizi evidenve zao ni dhahania tu.
* hivi gravitational pull ya moon ivute maji kupelekea tides lakini ndege wanaruka na hata hawawi affected na hyo gravitation.
 
Sasa kama ni flat mwisho kuna nini na kama ni duara, je unaweza kwenda kwa chini ya hilo duara?
Jikite kwenye Nukta Moja, nimekujibu kuhusu utambarare wa Dunia.

Ukomo wake hakuna aliye ufikia.
 
Sijawahi kuziona, ila sikubaliani na wewe kwamba Jua, mwezi na nyota viko ndani ya dunia.
 
Uliposema wanaaminisha watu Area 51 kuna aliens nmekuona wewe ni mjinga bwashee......Hiyo sehemu si kila siku wanashutumiwa na wanakataa kuhusu hilo ? Wewe unasema wao wanaaminisha watu hivyo


Nchi tuna vijana wa ajabu ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…