Ujue ukweli kuhusu NASA

Kama Dunia ni flat kwann masaa upishana yasiwe sawa, china usiku TANZANIA mchana kwann zote zisiwe usiku.
Kama Dunia ni flat kwann ukitoboa chini ya ardhi hadi mwisho unaibukia nchi nyingine kutokea chini
 
Nimekuelewa

Mliosoma haya (physical geo,physics na math

Msaidieni mwezenu ,kasema Dunia inaumbo la Meza(flat)

Tuliosoma ,HK(historia na kiswahili),kwetu pagumu hapo
 
Yawezekana wewe ni genius wa vilaza wenzako

Karine hi ya Leo bado haujui kuwa Dunia ni duara

Kama Dunia ni flat Kwa Nini sahizi Morocco ni mchana?

Kama Dunia ni flat kile kivuli Cha duara kinachoonekana mwezi unapokamatwa ni kivuli Cha Nini kile?
Anahitaji msaada ajue kwann Dunia inazunguko ,malizana nae hapo
 
Kama Dunia ni flat kwann masaa upishana yasiwe sawa, china usiku TANZANIA mchana kwann zote zisiwe usiku.
Kama Dunia ni flat kwann ukitoboa chini ya ardhi hadi mwisho unaibukia nchi nyingine kutokea chini
nan aliwah kutoboa ukileta ushahidi ntakusapot.
 
Umeanza vizuri,ulivyo maliza sasa,kwanza umechanganya mada
 
Sijawahi kuziona, ila sikubaliani na wewe kwamba Jua, mwezi na nyota viko ndani ya dunia.
Kama hujawahi kuziona haina maana ya kuendelea na mjadala.

Hakuna sehemu niliyo sema Jua, mwezi na nyota viko ndani ya Dunia.
 
Nyie endeleeni tu kubisha,ila ukweli ndio huo.Mimi ni afisa usalama wa taifa najua siri nyingi sana.
 
CGI mwaka 1969? Mi mtu akishasema dunia iko flat basi huwa siwezi kuendelea na mjadala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…