MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu,
Wikiend hii nikiwa nimeamka mapema nikiwa nacheki TBC kufuatiria ziara ya Rais wa nchi Mara kidogo nasikia hodi wife akatoka kidogo akaingia na mwanamke akiwa analia kisa mama huyo alikuwa akiuza mihogo huko kariakoo eneo ambalo hawakujua Kama wanatakiwa kaondoka
Mgambo wa jiji wamemkamata na ili asifungwe amelipa 170,000 la sivyo angeenda kufungwa na wenzake mama anadiriki kusema kuwa alifikia kutaka kunywa sumu na watoto wake sababu yeye ana watoto mume kamuacha na watoto ataIshi vipi na watoto fedha alizolipa ndio mtaji wake nakamuuliza rais wako siyo huyu anaonyeshwa kwenye TV hapa akasema baba ndio huyuhuyu huku akitokwa na machozi hapa anahitaji msaada wa mtaji.
Swali: Kwanini wakikamatwa wanatozwa pesa zinaenda wapi wametumwa na nani?
Wikiend hii nikiwa nimeamka mapema nikiwa nacheki TBC kufuatiria ziara ya Rais wa nchi Mara kidogo nasikia hodi wife akatoka kidogo akaingia na mwanamke akiwa analia kisa mama huyo alikuwa akiuza mihogo huko kariakoo eneo ambalo hawakujua Kama wanatakiwa kaondoka
Mgambo wa jiji wamemkamata na ili asifungwe amelipa 170,000 la sivyo angeenda kufungwa na wenzake mama anadiriki kusema kuwa alifikia kutaka kunywa sumu na watoto wake sababu yeye ana watoto mume kamuacha na watoto ataIshi vipi na watoto fedha alizolipa ndio mtaji wake nakamuuliza rais wako siyo huyu anaonyeshwa kwenye TV hapa akasema baba ndio huyuhuyu huku akitokwa na machozi hapa anahitaji msaada wa mtaji.
Swali: Kwanini wakikamatwa wanatozwa pesa zinaenda wapi wametumwa na nani?