princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
Baada ya kufunga chuo Likizo ya Mwezi wa kumi na bee nikiwa Fas ya Kijenge juu Chugamaican nikaamua kutimba Tripple A FM kucheki izo mbishe na mbanga za field bablae,,
Picha linaanza chaliako nimepiga suruali angu flani imeminywa kule danta ime tight kisolo na T-shirt flani oversize tunaitaga Oldskul vibe ya ela ote,mkononi nna bahasha alaf ndichi kuna ilo li barua la field,,
Naulizia pale mapokezi naambiwa nizame ofisi gan sijui nakutana na jimama ilo zuri laana ariff,Muiraki sio Muiraki!Mrangi sijui yule maana dah!?Nalipa izo ma salamu linaitikia kwa shobo kinyama,Nikalipa Barua pamoja na demo,,Demo likaiskilizaa likaanza kunikosoa"Una sauti nzuri una punch flow yako pia iko vyedi but punguza speed,Pia toa hii lafudhi redioni hatuhitaji lafudhi cjui za kiarusha,kisukuma wala kimakonde,
Vingine uko vizuri dogo langu"Likanigei ma contact pale likasema litanipigia simu,kesho ake Mornie Linanivutia ng'ora niteleze kwake Kuna Ishu muhimu,Napewa Direction za kushato hadi nafika kipande izo,Nashangaa Mamyloo ana jengo zuri kias iki gari za ela ote yaani alaf yuko alone kama kelvin?!
Tukiwa ndichi fiade ya Masofa linaniambia"Pole hujapata tabu kufika hapa?"Nikalijibu Sio kiivo Sister,,La haulah lakwata likaanza kunisogelea linanambia nisihofu liko peke ake tu na litanisaidia chochote nachotaka ila nifollow tu principle zake,,Lilisogeza mdomo wake karibu na wangu likiwa na lengo la kunipiga lita nikawa nakwepesha but moyoni najisemea Mbona linachelewesha!,ile staki nataka,,
Baada ya kumaliza ile Vibe bablide likanikaribisha Nizame ndichi kwa fas ya iyo ma bed!Yeooomiii!!Sms inaingia kwenye Ting'ling'liyuuu angu"My hubby uko wap?"Daaah likaiona ile sms coz ng'ora lilikua nayo,,Likawaka mbaya"We mtoto uyu ni nan?
Kuna mtu anakulea eeh?hawez kua mkeo coz huna umri wa kuoa saiv ila atakua ni mkubwa kabisa uyu!!Nimekuita unipe raha kumbe una mitikasi mengine?!"Nikaamua kulichana ile live kwamba uyo ni dem angu ndo atakae kua mke wangu baadae,wala sio mkubwa kama unavyofikiria..bado anasoma kama me..kama mimi yaani.
Halikutaka mboyoyo mingi likanisololesha nje na matusi ambayo sijawahi ata kuyaskia tangia nizaliwe,Roho iliniuma kinyama dingii mm,nikaahilisha na field redioni kwao nikaona wana za-kiduu,Aikatai aikatox kwa waenduru,nikapiga Mafekeche pande ingine,,
Picha linaanza chaliako nimepiga suruali angu flani imeminywa kule danta ime tight kisolo na T-shirt flani oversize tunaitaga Oldskul vibe ya ela ote,mkononi nna bahasha alaf ndichi kuna ilo li barua la field,,
Naulizia pale mapokezi naambiwa nizame ofisi gan sijui nakutana na jimama ilo zuri laana ariff,Muiraki sio Muiraki!Mrangi sijui yule maana dah!?Nalipa izo ma salamu linaitikia kwa shobo kinyama,Nikalipa Barua pamoja na demo,,Demo likaiskilizaa likaanza kunikosoa"Una sauti nzuri una punch flow yako pia iko vyedi but punguza speed,Pia toa hii lafudhi redioni hatuhitaji lafudhi cjui za kiarusha,kisukuma wala kimakonde,
Vingine uko vizuri dogo langu"Likanigei ma contact pale likasema litanipigia simu,kesho ake Mornie Linanivutia ng'ora niteleze kwake Kuna Ishu muhimu,Napewa Direction za kushato hadi nafika kipande izo,Nashangaa Mamyloo ana jengo zuri kias iki gari za ela ote yaani alaf yuko alone kama kelvin?!
Tukiwa ndichi fiade ya Masofa linaniambia"Pole hujapata tabu kufika hapa?"Nikalijibu Sio kiivo Sister,,La haulah lakwata likaanza kunisogelea linanambia nisihofu liko peke ake tu na litanisaidia chochote nachotaka ila nifollow tu principle zake,,Lilisogeza mdomo wake karibu na wangu likiwa na lengo la kunipiga lita nikawa nakwepesha but moyoni najisemea Mbona linachelewesha!,ile staki nataka,,
Baada ya kumaliza ile Vibe bablide likanikaribisha Nizame ndichi kwa fas ya iyo ma bed!Yeooomiii!!Sms inaingia kwenye Ting'ling'liyuuu angu"My hubby uko wap?"Daaah likaiona ile sms coz ng'ora lilikua nayo,,Likawaka mbaya"We mtoto uyu ni nan?
Kuna mtu anakulea eeh?hawez kua mkeo coz huna umri wa kuoa saiv ila atakua ni mkubwa kabisa uyu!!Nimekuita unipe raha kumbe una mitikasi mengine?!"Nikaamua kulichana ile live kwamba uyo ni dem angu ndo atakae kua mke wangu baadae,wala sio mkubwa kama unavyofikiria..bado anasoma kama me..kama mimi yaani.
Halikutaka mboyoyo mingi likanisololesha nje na matusi ambayo sijawahi ata kuyaskia tangia nizaliwe,Roho iliniuma kinyama dingii mm,nikaahilisha na field redioni kwao nikaona wana za-kiduu,Aikatai aikatox kwa waenduru,nikapiga Mafekeche pande ingine,,