lovelovelove
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 270
- 270
Cc papaa mafido😅😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I see you everywhere mkuu..Uzi kama huu na hii weekend uwaga tu aesabu namba tu
1
Pita ivi,hii nchi nyingine chaliangu
Hahahaah Dah!Hivi shule inafunguliwa lini
Uyu chalii ni waki,shobo zaki-duuAnaleta pigo za kiwaki!!
"Hatikvah"
baridi barafu bablae
Uyu chalii ni waki,shobo zaki-duu
Unataka urudi shule Dingilae?Hivi shule inafunguliwa lini
Pamoko sana brazaKama hujui lugha ya kaskazini hutaelewa milele nini kimeongelewa hapo...but kijana acha kushobokea majimama huwezi jua kama mzima kwa sababu mwanamke mwenye akili timamu hawezi eti from nowhere tu mmeonana leo leo kesho akuite ukamto...mbe lazima kuna kuna kitu hapo kama hajawaka huyo sijui ila mshukuru demu wako huwezi jua amekuepushia nini kwa hilo jimama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisha ilost aiseearifu umesomeka vyedi kabisa pole kwa majanga hiyo mami lov siwezi pata no yake aiseee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauka Tatizo udaresalade unakusololesha hadi una haraunya kireeUjinga ujinga tu. Hizi kiss and tell nyinyi vijana wa mkoani mtaziacha lini?
kaishapiga cha Arachuga bila kula...sasa kinamuwewesesha.Hata sijakuelewa mkuu,maana umeandika kibangebange tu,hakika hii ni useless post
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe kinabo uliandika uzi wa kutimiza ndoto ya kujiunga jf ili ufanyie practice ujinga wako?Kauka Tatizo udaresalade unakusololesha hadi una haraunya kiree