Ujumbe kwa Al Ahly: Yanga inawasubilia kwa hamu na boli litatembea na kitapigwa kweli kweli

Ujumbe kwa Al Ahly: Yanga inawasubilia kwa hamu na boli litatembea na kitapigwa kweli kweli

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Nimeishuhudia Aly ahly kwenye mechi takribani 4 za kiushindani na nilitaka nijiridhishe zaidi kimbinu na kiufundi namna awa mabingwa wa kihistoria wa afrika wanavyocheza kwa sasa, na nilisubilia mechi kabambe ya kiushindani dhidi yake na mamelod!
Nilitaka nione ni namna Gani wanacheza kwenye mechi ya kusaka matokeo ya lazima na nimewaona kwenye mechi zote mbili za mamelod na nikajiridhisha ya kwamba wakikutana na yanga hii BOLI litapigwa na litatembea na kitaumana vizuri sana!
Aly ahly hii ya Sasa sio Aly ahly ya misimu 2 iliyopita, hii ni Aly ahly ambayo kiubora imeshuka kidogo ndio maana imekuwa na kazi ngumu sana kupata matokeo kwa timu ambayo Iko timamu kimbinu,
Aly ahly hii ni rahisi sana kupata matokeo dhidi yake Kama timu yako Ina Kasi, Ina wachezaji wanaojituma, na Ina kocha Bora kimbinu!
Ni jambo ambalo kiufundi nawaona yanga ya gamondi wakichekelea kwa mbali uku wakikoki siraha zao vizuri bila wasi wasi wowote, aina ya uchezaji wa yanga na aina ya uchezaji wa mamelod awapishani sana, mpira wa Kasi na kujituma mwanzo mwisho uku wakichagizwa na wachezaji vijana mafundi nawaona yanga walipata matokeo chanya dhidi ya Aly ahly
Ninasema Tena ninarudia kusema kwa sauti kubwa ya kwamba ""BOLI LITATEMBEA, KITAPIGWA NA KITAUMANA"""
GAMOND TUNAKUACHIA MY WAKO SHUGHULIKA NAE!
 
Sijasoma uzi ila nina uhakika kilichoandikwa hapo ni uharo
 
Nimeishuhudia Aly ahly kwenye mechi takribani 4 za kiushindani na nilitaka nijiridhishe zaidi kimbinu na kiufundi namna awa mabingwa wa kihistoria wa afrika wanavyocheza kwa sasa, na nilisubilia mechi kabambe ya kiushindani dhidi yake na mamelod!
Nilitaka nione ni namna Gani wanacheza kwenye mechi ya kusaka matokeo ya lazima na nimewaona kwenye mechi zote mbili za mamelod na nikajiridhisha ya kwamba wakikutana na yanga hii BOLI litapigwa na litatembea na kitaumana vizuri sana!
Aly ahly hii ya Sasa sio Aly ahly ya misimu 2 iliyopita, hii ni Aly ahly ambayo kiubora imeshuka kidogo ndio maana imekuwa na kazi ngumu sana kupata matokeo kwa timu ambayo Iko timamu kimbinu,
Aly ahly hii ni rahisi sana kupata matokeo dhidi yake Kama timu yako Ina Kasi, Ina wachezaji wanaojituma, na Ina kocha Bora kimbinu!
Ni jambo ambalo kiufundi nawaona yanga ya gamondi wakichekelea kwa mbali uku wakikoki siraha zao vizuri bila wasi wasi wowote, aina ya uchezaji wa yanga na aina ya uchezaji wa mamelod awapishani sana, mpira wa Kasi na kujituma mwanzo mwisho uku wakichagizwa na wachezaji vijana mafundi nawaona yanga walipata matokeo chanya dhidi ya Aly ahly
Ninasema Tena ninarudia kusema kwa sauti kubwa ya kwamba ""BOLI LITATEMBEA, KITAPIGWA NA KITAUMANA"""
GAMOND TUNAKUACHIA MY WAKO SHUGHULIKA NAE!
Ndugu yangu wahi kazini tafadhali
 
Waarabu wanakauli yao inasema "CHAKUA HEKIMA IJAPOKUWA INATOKA KATIKA KINYWA CHA MWENDAWAZIMU"

Manara ni MWENDAWAZIMU ila hii kauli ya kusema kule CHURANI WENYE AKILI WAPO WAWILI ni sahihi kabisa.
 
Sijasoma uzi ila nina uhakika kilichoandikwa hapo ni uharo
Lazima uone ni uharo kwa kuwa sijaandika kukufurahisha wewe au kolo yeyote yule, nafikiri imepenya vizuri Kama vipi ichomoe!
 
Waarabu wanakauli yao inasema "CHAKUA HEKIMA IJAPOKUWA INATOKA KATIKA KINYWA CHA MWENDAWAZIMU"

Manara ni MWENDAWAZIMU ila hii kauli ya kusema kule CHURANI WENYE AKILI WAPO WAWILI ni sahihi kabisa.
Ni sahihi pia ya kwamba mbumbumbu ni mbumbumbu tu maana kujenga hoja kwake ni mtihani tofauti yake na kondoo ni mkia tu!
 
Wafilipi 2:3-

Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake
 
Nimeishuhudia Aly ahly kwenye mechi takribani 4 za kiushindani na nilitaka nijiridhishe zaidi kimbinu na kiufundi namna awa mabingwa wa kihistoria wa afrika wanavyocheza kwa sasa, na nilisubilia mechi kabambe ya kiushindani dhidi yake na mamelod!
Nilitaka nione ni namna Gani wanacheza kwenye mechi ya kusaka matokeo ya lazima na nimewaona kwenye mechi zote mbili za mamelod na nikajiridhisha ya kwamba wakikutana na yanga hii BOLI litapigwa na litatembea na kitaumana vizuri sana!
Aly ahly hii ya Sasa sio Aly ahly ya misimu 2 iliyopita, hii ni Aly ahly ambayo kiubora imeshuka kidogo ndio maana imekuwa na kazi ngumu sana kupata matokeo kwa timu ambayo Iko timamu kimbinu,
Aly ahly hii ni rahisi sana kupata matokeo dhidi yake Kama timu yako Ina Kasi, Ina wachezaji wanaojituma, na Ina kocha Bora kimbinu!
Ni jambo ambalo kiufundi nawaona yanga ya gamondi wakichekelea kwa mbali uku wakikoki siraha zao vizuri bila wasi wasi wowote, aina ya uchezaji wa yanga na aina ya uchezaji wa mamelod awapishani sana, mpira wa Kasi na kujituma mwanzo mwisho uku wakichagizwa na wachezaji vijana mafundi nawaona yanga walipata matokeo chanya dhidi ya Aly ahly
Ninasema Tena ninarudia kusema kwa sauti kubwa ya kwamba ""BOLI LITATEMBEA, KITAPIGWA NA KITAUMANA"""
GAMOND TUNAKUACHIA MY WAKO SHUGHULIKA NAE!
Wananchi kuelekezwa kibra kunawahusu!!
 
Wafilipi 2:3-

Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake
Hii kali inabidi niitafakari inavyo-apply kwenye michezo hususia kwenye ushindani wa mnyama na Uto!! Naona kushindana ni halali kwenye michezo na kwenye mitihani rasmi tu., (ushindani nje ya michezo na mitihani rasmi ni dhambi), maana ushindani michezoni umetajwa pia kwenye biblia!! Cha maana ushindani ufanyike kwa halali!! Biblia inasema, hata washindanao kwenye michezo hawapewi taji wasiposhindana kwa halali!!
 
Back
Top Bottom