jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 816
- 515
we unafikiri wote waliopo chuo wanalipiwa na bodi.
nenda chuo acha mbwembwe.
bodi wanatarget sana tarehe za kufungua kwa vyuo vya serikali hivyo watatoa majina mwezi huu mwishoni.
Sasa,wanatarget,vyuo vya serikali tu,je vyuo vya private,avitambuliki?bodi wanatakiwa kuzingatia ratiba ya vyuo vyote,,waache,,mambo zao hizo,,,,,,,