Ujumbe kwa CHADEMA, Nyerere aliwahi kusema Chama kitakachopuuza maoni ya wananchi, kinaweza kikalia kilio asipatikane mtu wa kukifuta machozi

Ujumbe kwa CHADEMA, Nyerere aliwahi kusema Chama kitakachopuuza maoni ya wananchi, kinaweza kikalia kilio asipatikane mtu wa kukifuta machozi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
"Msipuuze maoni ya wananchi hata kidogo, Chama kitakachopuuza maoni ya wananchi, kinaweza kikalia kilio asipatikane mtu wa kukisaidia kupangusa machozi, na ninachowaambia CCM ninawambia na vyama vingine vilevile, lazima msikilize wananchi wanasema nini. Kwa sababu kama wote ni sawa na wananchi wanampenda mmoja katika hao kuliko wengine, basi huyo ndiye anayefaa"

 
Mbowe amepuuza maoni ya wanachadema na anaendeleza ubabe wake wa kukaa madarakani Kwa zaidi ya miaka 20. Hataki kuwaachia akina HECHE, TUNDU LISSU nk.
 
Back
Top Bottom