zimefikaaBora umekuja! Nilikuwa nawaza nitawapata wapi wewe na mumeo Mshana unajua kijiji hakikosi wazee na jambo la heri kama hili kupitia kwa wazee wa kijiji hiki cha JF kama nyie ni lazima ili kupata wepesi...salam zifike kwa mzee pia
Hahah ata nina neno basi rafiki? Naona unarudi kwenye ubora wako taratibuHahahaaaa. Najua ushamaliza kucheka rafiki. Haya tia neno. Lol. [emoji12]
Hahahaaaaaa. Kumbuka tu shoga angu.Hahaha dada Hajar hii comment yako imenifanya nimkumbuke Vladi
Nimekuja mdogo wangu baada ya kumaliza vishughuli vya Weekend.Hahaaa ..hatimaye umetokea.
Hahahaa. Umenifanya nione aibu rafiki. Lolunachanganya watu rafiki ππππ ........ na mie nakuita uje upate cappuccino maana hali ya hewa ni nzuri kwa vinywaji moto, maeneo ya kijiweni kwangu..
Hahahaaa. Hawaogopi watu wasiojulikana. TehHaahha kavaa kinyago huyo shogaangu,.watu wana hatarii
Anajiamini atiiHahahaaa. Hawaogopi watu wasiojulikana. Teh
Na yale makufuli ya PM basi akaona cha kufia nini, na jambo rohoni hivyo bora afunguke tu. Hahahaaa.Anajiamini atii
Heheheee uwiiiiiNa yale makufuli ya PM basi akaona cha kufia nini, na jambo rohoni hivyo bora afunguke tu. Hahahaaa.
Hahahaaa. Ila kweli aiseee rafiki.Kwanini yasiwepo bhn?
umesahau kua vimebadirika vitu vi3 tu ila vingine vipo kama vilivyo
Duuuh.Hahahaaaa. mikononyuma amechelewa tatizo.
Ila glass amo umejifunza lini ushenga lakini? [emoji12]Duuuh.
Haya bhn
Hahahahahah.Ila glass amo umejifunza lini ushenga lakini? [emoji12]
Maneno matamuNimekosa cha kuandika mikononyuma na hujakosea ulivyoviandika kuhusu Hajar ila sasa ameshawahiwa tayari.
Hajar hana cha kukupa zaidi ya kukuombea nawe uje kupata mke mwenye sifa kama za Hajar nina imani hutojuta kuwa ndani ya ndoa maishani mwako.
Ahsante sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
hahha bora umwambie wew maan Dππ[emoji23] [emoji23]Kwanini yasiwepo bhn?
umesahau kua vimebadirika vitu vi3 tu ila vingine vipo kama vilivyo
Hahah!! Utamuweza huyu rafikihahha bora umwambie wew maan Dππ[emoji23] [emoji23]
Pas ya kumfikia unayo wewe?mwambie apitie kwangu taratibu zote nitampa