Mh. Speaker, ningependa kufikisha ujumbe huu kwa ufupi sana. Nimeamua kuandika baada ya kukusikia kwa mara ya pili ukiongelea ugumu wa ajira kwa vijana.
Sitaki kujikita sana kwa wajibu wa serikali duniani kote kutengeneza ajira na kuhakikisha sekta binafsi inakuwa kwa kasi ili kutoa fursa za ajira kwa vijana. Nchi hizo zipo, unazijua, kinachohitajika ni POWER OF THE BRAIN, kitu ambacho kwa kiasi kikubwa Waafrika hatuna. It's like we are programmed for failures, our political leaders.
Ngoja nijikite kwenye hoja yangu. Vijana kwa maelfu hawana ajira hilo liko wazi na wala sio debate tena, unashauri vijana wajiajiri, JAMBO ZURI SANA. Ila Mh. Ulishatumia tumia ubongo wako kufikiri vijana watajiajiri vipi? Naongelea mitaji. Wewe ni mtu mkubwa sana ndani ya serikali hii ulishajaribu kujiuliza and probably advice the government vijana watapata wapi mitaji ya kufanya huo ujasiriamali?
Ningekuona ni mwanasiasa makini kama ungeshauri vijana wajiajiri huku kuna Bank ya vijana inayotoa mikopo nafuu kwa riba esp kwa vijana wa vyuo vikuu. Your argument and comparison is poorly understood, unasema darasa la 7, unataka kijana wa chuo kikuu akaendeshe mkokoteni? Ili apate mtaji? Alisoma ili iweje? Mbona Waafrika tunakuwa a scum of the earth?
Hebu fanya hivi Mh. Sana, mtukufu. Ushauri toa kwa serikali vijana wapate mitaji then uendelee kutoa unsound political statements. Pia shauri Serikali hata kwa wale vijana waliobahatika kupata mitaji toka kwa ndugu wa kaamua kufanya ujasiriamali serikali yako iangalie suala la kodi. Leo naanza biashara kwa mtaji ambao hamkunipa wala hamjui nimetoa wapi siku ya kwanza hata sijapata faida natozwa mikodi.
Toeni basi incentives hata hiyo reli vijana waliomaliza chuo kikuu wanafanya biashara muwape unafuu wa kusafirisha mazao yao wanaolima muwaache wauze wanakotaka. Mahindi nilime mimi pembejeo haukunipa, na kuuza unipangie niuze wapi? Au unasahau serikali yako baada ya mavuno tu ndio mnaanza kupanga watu wauze wapi mazao?
Na mengi ila naomba kuishia hapa.
Sitaki kujikita sana kwa wajibu wa serikali duniani kote kutengeneza ajira na kuhakikisha sekta binafsi inakuwa kwa kasi ili kutoa fursa za ajira kwa vijana. Nchi hizo zipo, unazijua, kinachohitajika ni POWER OF THE BRAIN, kitu ambacho kwa kiasi kikubwa Waafrika hatuna. It's like we are programmed for failures, our political leaders.
Ngoja nijikite kwenye hoja yangu. Vijana kwa maelfu hawana ajira hilo liko wazi na wala sio debate tena, unashauri vijana wajiajiri, JAMBO ZURI SANA. Ila Mh. Ulishatumia tumia ubongo wako kufikiri vijana watajiajiri vipi? Naongelea mitaji. Wewe ni mtu mkubwa sana ndani ya serikali hii ulishajaribu kujiuliza and probably advice the government vijana watapata wapi mitaji ya kufanya huo ujasiriamali?
Ningekuona ni mwanasiasa makini kama ungeshauri vijana wajiajiri huku kuna Bank ya vijana inayotoa mikopo nafuu kwa riba esp kwa vijana wa vyuo vikuu. Your argument and comparison is poorly understood, unasema darasa la 7, unataka kijana wa chuo kikuu akaendeshe mkokoteni? Ili apate mtaji? Alisoma ili iweje? Mbona Waafrika tunakuwa a scum of the earth?
Hebu fanya hivi Mh. Sana, mtukufu. Ushauri toa kwa serikali vijana wapate mitaji then uendelee kutoa unsound political statements. Pia shauri Serikali hata kwa wale vijana waliobahatika kupata mitaji toka kwa ndugu wa kaamua kufanya ujasiriamali serikali yako iangalie suala la kodi. Leo naanza biashara kwa mtaji ambao hamkunipa wala hamjui nimetoa wapi siku ya kwanza hata sijapata faida natozwa mikodi.
Toeni basi incentives hata hiyo reli vijana waliomaliza chuo kikuu wanafanya biashara muwape unafuu wa kusafirisha mazao yao wanaolima muwaache wauze wanakotaka. Mahindi nilime mimi pembejeo haukunipa, na kuuza unipangie niuze wapi? Au unasahau serikali yako baada ya mavuno tu ndio mnaanza kupanga watu wauze wapi mazao?
Na mengi ila naomba kuishia hapa.