onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Ni kweli maana hata huko yanga skudu haingiii kwenye rotation sababu hajafika kiwangoMashabiki pungezeni kelele. Mtu anaingia kwa uwezo sio huruma au rotation kama migambo ya kulinda ofisi
japo una hoja ila umepuyanga, kapombe sio mtanzania?? zimbwe ni mkongomani??? kibu?? mzamiru?? aishi?? wapambane waache kusubiria wapewe nafasi kwq ajili ya rotationWATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE
Tafadhali anayefahamu ku-download huu mlio anitumie niwe napokelea simu ni mlio mzuri sana kwa kupokelea simu.WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE
Somq vizuri niliMashabiki pungezeni kelele. Mtu anaingia kwa uwezo sio huruma au rotation kama migambo ya kulinda ofisi
Mimi naongelea Kwa maslahi ya timu na ya wachezaji wetu wa kitanzaniavp tukupe simba uwe kocha wetu.uwapange unaowataka
Fanya ivyo mkuuvp tukupe simba uwe kocha wetu.uwapange unaowataka
Usilalamike bila kuwa na facts. Hao wachezaji wazawa wa Simba akina Kapama, Kyombo na huyo Mwenda wamewahi kupewa nafasi hata na makocha waliopita lakini performance zao ni DUNI saana.WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE
kama uwezo wao mdogo.unataka wapangwe vp?Somq vizuri nili
Mimi naongelea Kwa maslahi ya timu na ya wachezaji wetu wa kitanzania
Awapumzishe wakati ndio wanatakiwa wacheze ili wawe fit? Hii tabia imeanza kwa kasi, unakuta mtu anaweza kulogin basi anakimbilia kumkosoa mtaalamu aliyesomea kazi hiyoMechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda, Duchu
MNASEMAJE
Walisajiliwa vipi kama wana uwezo mdogo?kama uwezo wao mdogo.unataka wapangwe vp?
Alokwambia kikos anapanga robertinho nani?. We huoni hata mbinu zake hazitokei?.WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE
Si mambumbumbu ?Hapa ndipo mashabiki wa simba mnaponifurahisha. Ikitokea kocha akafanya hayo mabadiliko ya wachezaji, halafu ikafungwa! Au hata kutoa tu sare!
Mnamgeuka tena kocha kwa nini kamuacha Kapombe, Zimbwe, Chama na Kibu nje!! Mtamtumtukana na kutaka afukuzwe kazi!! Kwa hali hii lazima kocha apange kikosi kwa ajili ya kupambania ushindi.
Maana nyinyi mashabiki wa simba hamna uvumilivu hata kidogo! Halafu ni wepesi wa kulalamika. Hata timu ikishinda, bado mnalalamika!!
Kuhusu ubovu wa mashabiki jf Hilo nakuunga mkono [emoji817]. Humu siku hizi kuna vilaza kama kwenye siasa. Nachelea kusema wanasiasa wabovu ndo wamegeuka Wasemaji kuhusu soka Kwa ID tofauti.Ningetamani sana kama Jamii Forum ingekuwa ni sehemu ya VIONGOZI WA Kila SEKTA kuja na Kuokota Mawazo.
Kama mashabiki WA Simba tungeadhimia kwa pamoja mapendekezo na Ushauri wetu kwa Klabu ya Simba, Tungetoa andiko Moja na Kulikabishi kwa Uongozi WA CLABU.
Lakini Jamii Forum kwa sasa Imevamiwa pakubwa mno.
WATU tumejaza Upuuzi, UJINGA na UPUMBAVU Mwingi.
Waambie washindane, hakuna mtu atakuingiza uwanjani kama zawadi. Huyo Mzamiru na Manula hawaingii kama zawadiSomq vizuri nili
Mimi naongelea Kwa maslahi ya timu na ya wachezaji wetu wa kitanzania