Ujumbe kwa viongozi na mashabiki wa Simba SC

Ujumbe kwa viongozi na mashabiki wa Simba SC

Wachezaji wazawa wakija Simba wanakuja kuua viwango vyao tu.

Mchezaji kijana mwenye kipaji kama Muhammadi Juma amepotea mazima.

Angeenda Yanga angekuwa wa moto sasa hivi.
Ona akina Bakari Mwamyeto, Faisal Salum. Muhammadi Baka, Mzinze wamepata muda wa kuonesha vipaji vyao na wameonekana.

Nashangaa Boko anacheza Muhammedi Mussa anaishia Benchi tu.
Mabeki wazuri kama Hussein Kazi na Israeli Mwenda wamebaki kuwa waokota mipira tu.
 
WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.

Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?

Rotation Iko Wapi?

Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.

Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,

Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?

@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?

Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.

Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,

Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,

N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.


MNASEMAJE
japo una hoja ila umepuyanga, kapombe sio mtanzania?? zimbwe ni mkongomani??? kibu?? mzamiru?? aishi?? wapambane waache kusubiria wapewe nafasi kwq ajili ya rotation
 
WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.

Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?

Rotation Iko Wapi?

Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.

Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,

Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?

@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?

Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.

Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,

Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,

N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.


MNASEMAJE
Tafadhali anayefahamu ku-download huu mlio anitumie niwe napokelea simu ni mlio mzuri sana kwa kupokelea simu.
 
WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.

Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?

Rotation Iko Wapi?

Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.

Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,

Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?

@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?

Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.

Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,

Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,

N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.


MNASEMAJE
Usilalamike bila kuwa na facts. Hao wachezaji wazawa wa Simba akina Kapama, Kyombo na huyo Mwenda wamewahi kupewa nafasi hata na makocha waliopita lakini performance zao ni DUNI saana.

Wakisajiliwa Simba wanajiona wamefika. Utaanzaje kumuweka bench Kapombe ili au Baleke au Phiri kwa ajili ya wachezaji wasiojituma?
 
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda, Duchu
MNASEMAJE
Awapumzishe wakati ndio wanatakiwa wacheze ili wawe fit? Hii tabia imeanza kwa kasi, unakuta mtu anaweza kulogin basi anakimbilia kumkosoa mtaalamu aliyesomea kazi hiyo
 
WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.

Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?

Rotation Iko Wapi?

Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.

Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,

Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?

@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?

Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.

Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,

Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,

N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.


MNASEMAJE
Alokwambia kikos anapanga robertinho nani?. We huoni hata mbinu zake hazitokei?.

Kikosi Cha simba kinapagwa na uongozi flaniflan hivi. Kikishinda inaonekan kawaida na kikifungwa analaumiwa kocha
 
Hapa ndipo mashabiki wa simba mnaponifurahisha. Ikitokea kocha akafanya hayo mabadiliko ya wachezaji, halafu ikafungwa! Au hata kutoa tu sare!

Mnamgeuka tena kocha kwa nini kamuacha Kapombe, Zimbwe, Chama na Kibu nje!! Mtamtumtukana na kutaka afukuzwe kazi!! Kwa hali hii lazima kocha apange kikosi kwa ajili ya kupambania ushindi.

Maana nyinyi mashabiki wa simba hamna uvumilivu hata kidogo! Halafu ni wepesi wa kulalamika. Hata timu ikishinda, bado mnalalamika!!
Si mambumbumbu ?
 
Ningetamani sana kama Jamii Forum ingekuwa ni sehemu ya VIONGOZI WA Kila SEKTA kuja na Kuokota Mawazo.

Kama mashabiki WA Simba tungeadhimia kwa pamoja mapendekezo na Ushauri wetu kwa Klabu ya Simba, Tungetoa andiko Moja na Kulikabishi kwa Uongozi WA CLABU.

Lakini Jamii Forum kwa sasa Imevamiwa pakubwa mno.

WATU tumejaza Upuuzi, UJINGA na UPUMBAVU Mwingi.
Kuhusu ubovu wa mashabiki jf Hilo nakuunga mkono [emoji817]. Humu siku hizi kuna vilaza kama kwenye siasa. Nachelea kusema wanasiasa wabovu ndo wamegeuka Wasemaji kuhusu soka Kwa ID tofauti.
 
Wachezaji Simba wanahitaji rotation, Manura ametumia kwenye mechi ambayo so lazima aanze, Peter Banda ameachwa wakati muda mwingi alikuwa anatumia bench. Mtoa mada yupo sahihi kocha ni Kama amekariri kikosi.
 
Kocha analaumiwa kwa matokeo mabaya na sio kwa kutompanga fulani. Simba sio timu ya taifa , unapolilia rotation iwe kwa wachezaji wote na sio eti wazawa. Kocha atafanya rotation atakapo ona yeye inafaa na sio kumpigia makelele wakati hutawajibika wewe endapo atapata matokeo mabaya akifanya hiyo rotation unayoitaka.
 
Back
Top Bottom