Ujumbe kwa wafuasi wa Isreal

Ujumbe kwa wafuasi wa Isreal

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Quran imeeleza wazi

Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.

Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Quran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Sawa Sheikh mnya azi mungu allah akufanyie wepes takbiiiir
 
Dini ina nafasi sana ya kiislam. Kama haina nafasi sote tungaliishi duniani kwa jinsi unavyotaka miaka ya kuishi.
Unahangaika sana chief hata sijui kama unasoma kabla huja-post hapa jukwaani.

Hapo umemaanisha nini?na kwanini Africans tusihangaike kwanza na matatizo yetu?
 
Kuna mda natamani niheshimu maandiko ya dini zingine lkn kama mafundisho/miongozo yake ndio hyo itoshe kusema kuliko hicho kitabu ulichokinukuu bora kitabu Cha Takadini, Ngoswe penzi kitovu Cha uzembe au Hadithi ya mua uliozamisha meli
 
Quran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Unaamini hii hadithi? Kumbuka Qur'an si kitabu cha Mungu, unafahamu hii? Kama unayaamini haya maandiko, hivi ni nini kinachowakumba Waarab hivi sasa huko Palestina, Mungu anawasaidia kweli? Msipende kujiaminisha upuuzi toka vitabu kwa hadith zilizotungwa na watu kama sie kwa manufaa yao binafsi.

Moral of the story: Never trust words by Mohammed for he was a sinner and a rapist.
 
Unaamini hii hadithi? Kumbuka Qur'an si kitabu cha Mungu, unafahamu hii? Kama unayaamini haya maandiko, hivi ni nini kinachowakumba Waarab hivi sasa huko Palestina, Mungu anawasaidia kweli? Msipende kujiaminisha upuuzi toka vitabu kwa hadith zilizotungwa na watu kama sie kwa manufaa yao binafsi.

Moral of the story: Never trust words by Mohammed for he was a sinner and a rapist.
Your mother anayaamini.
 
Mama yangu katunukiwa na amesoma, hawezi amini upuuzi kama huu mithali ya mtu asiye na akili.
1698773566696.png

Nani Anakili kuliko u mother?
 
Dini ina nafasi sana ya kiislam. Kama haina nafasi sote tungaliishi duniani kwa jinsi unavyotaka miaka ya kuishi.
Sayansi ipo Njiani Kumfanya MWANADAMU Aishi Atakavyo...
Deen yako itakuwa na nafasi Gani? [emoji441]
 
W
Quran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
WE Malaria 2 sugu.
Huko Israel inapiganwa vita ya dini gani?
 
Back
Top Bottom