Ujumbe kwa wale wote mnaoagiza magari kutoka nje. Usipite bila kusoma hapa

Duuh hii inaitwaga ngumu kumeza...... Kama hutaki subr yakukute
Sema unatuumiza roho tulipitiaga mazingira hayo Aiseee

Pole sana ila now ushapata elim huwez pigwa, ukiwa mjanja hawa jamaa huwa wanaangalia na wakuwapiga wakiona hujui kitu kuhusu gari na sio mfuatiliaji lazma wakulize.

Juzi kati hapa nimeshusha gari ya sista yangu dualis jamaa akataka kuleta stori eti betri imekufa nikamwambi mjapan kanambia hio gari mimi natakiwa kubadili oil tu kila kitu kipo sawa hadi document za service yagari ikiwa japan me nazo unataka sema nn, ooh si unajua gari imekaa muda baharin nikamwambia itoe leta tuibust. Muda kidogo akasema bhs gari imewaka nikamwambia mimi mtoto wa mjin fala weewe, uyo tukakutana water front kanipa ndinga moto siwaachii gari kabisa
 
Ishi sana mwanangu,,,ubarikiwe saaana
 
Mkuu mimi ni kampuni lazima nitoe huduma nzuri kuna tofauti na wale wa chini ya mti. Mimi nakupa na warranty mkuu sifanyi kazi kwa kubahatisha. Polish vipi? Gari haijafubaa bado
Mkuu naomba orodha ya bidhaa kwenye kampun yako je unauza jumla??
 
Hapo kwa TBS ndo patamu
 
hua inanipa shida kidogo kufikiri,kijana unaishi mjini kwa wizi....maana huu ni wezi na utapeli na sio kujiongeza najikuta tu nawaonea huruma
 
Hatari sana aisee
 
Asante Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…