Ujumbe kwa wale wote mnaoagiza magari kutoka nje. Usipite bila kusoma hapa

Polishing ya gari mpya unafanya sh ngp
 
Ofisi yako ipo upande wa Port View au hapo karibu na kibanda Cha traffic. Mchana nitamleta raia mmoja hapo
 
kuna ile issue nyengine watu wana shusha gari bandarini wanajifanya gari may be ya zambia au congo, malawi n.k kumbe ni ya bongo bhn gari inakamilisha taratibu za bandarini ina toka ikifika kule mpakani ina geuzwa chaka kwa chaka kumbe mwenye gari anakuwa kaamda number plate kanunua kwa hizi gari zinazo piga mizinga au zimesha jichokea jamaa ana nunua number plate na chases number wanaenda wana i fix huwezi jua mzee tayari mtu anakuwa ame kwepa usajilj hapo nilisikia hizi fununu hivi ni kweli kuna undava huo au ni stori tu za vijana waendesha IT?
 
Hizi Story Mzee
 
Hizo Story hakuna Mtu mwenye uwezo wa kununua gari ya thamani,Kisha akwepe Kodi Ili aje asajiliwe kwa usajili wa namba ya Zamani
 
Hiyo gari inaingiaje TZ? Kwa usajili wa Zambia?
 
Hiyo gari inaingiaje TZ? Kwa usajili wa Zambia?
Hii sio official ni shortcut na Watu ndio kazi zao. Hizo gari za Zambia zinaweza kuja kama scrap inachinjwa kule huku inakuja kama spare, Kuna njia za panya ikiingia inakatwa na kuvuliwa vifaa kwenye gereji za karibu na Tunduma kumbuka gari za Zambia huwa zinafika kufanya Service maeneo ya Tunduma upande wa Tanzania
 
Hawa ma agent ni wezi tu.

Unaagiza gari ila wanakuletea mkweche.
 
Hivi kuna Gharama gani Kuagiza Mwenyewe!?

Je nikiingia Be forward siwezi Agiza Mwenyewe na Kufanya Clearance kila Kitu.

Hao ma Agent huwa wana Nini Ambacho Huwezi kukufanya?
Kuagiza mwenyewe unaweza ni vile watu wanaingiaga uvivu tu plus uzembe. Ila ukijaribu kuagiza kwa hawa madalali wa instagram ni umeliwa wamejaa matapeli wa kutupwa.

Ila kwenye clearance huwa lazima uwatumoe agents.
 
Tatizo ni ushamba ndugu yangu yani mtu anajua kuagiza gari Japan ni rocket science kumbe ni kitu rahisi tu kipo straight
 
Usisahau pia odometer tampered unakuta gari imetembea klm laki mbili mtu anapigwa anashushiwa imetembea Km elfu 30 anaingia kichwa kichwa anauziwa bei mbaya, Dah ukiangalia ndani gari ya klm elfu 30 imechakaa kila kona. Hao ma agent ndio michezo yao wao wanakununulia gari lililotembea klm nyingi kwa bei ndogo halafu wao wanazishusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…