saddyy
Member
- Dec 28, 2014
- 58
- 54
Najua hupendi kusoma jumbe ndefu kama hii, ila tafadhari isome.
Ulipochagulia kwenda chuo you had a lot of expectations, inawezekana ulitoka na idea zako za kuwa wa kwanza class km ulivyokuwa ukiwaza enzi za sekondari....
My dear brother n sister, University life is more than that.
Chuo ni sehemu unayotakiwa kufanya zaidi ya kusoma [Do beyond studying]. Best students huwa wanachangamoto zao kitaa, maana wengi wao wali sacrifice kila kitu ili wapate 1st class... Wakasahau kitaa hakitambui GPA muda wote.
Wakija mtaani wanapagawa kuona wenye gentle wanafanya vizuri ktk maisha kuliko wao.... Ukitaka kuishi vizur kitaa baada ya kugraduate usitumie notsi zako za chuo kitaa.
Best students wenye MaGPA yao huwa wanapanic baada ya kuona hawana skill yoyote ile zaid ya gpa.
Ila ukwel ni kwamba, ukiwa chuo try to live life beyond lecture notsi and GPA.
Do some business, try to take leadership challenges..... Engage urself in youth clubs/networks both on and off campus... Find an org you can "VOLUNTEER" with during your stay at college. And you will be ten miles away those guys who are fresh graduates......
You will have something of an added value that will place you at the frontline ukifika kitaa.
Simaanish upotezee kitabu, NO. But do something extra, try to explore ur potentialities beyond books.
And u will always be the best.
Ulipochagulia kwenda chuo you had a lot of expectations, inawezekana ulitoka na idea zako za kuwa wa kwanza class km ulivyokuwa ukiwaza enzi za sekondari....
My dear brother n sister, University life is more than that.
Chuo ni sehemu unayotakiwa kufanya zaidi ya kusoma [Do beyond studying]. Best students huwa wanachangamoto zao kitaa, maana wengi wao wali sacrifice kila kitu ili wapate 1st class... Wakasahau kitaa hakitambui GPA muda wote.
Wakija mtaani wanapagawa kuona wenye gentle wanafanya vizuri ktk maisha kuliko wao.... Ukitaka kuishi vizur kitaa baada ya kugraduate usitumie notsi zako za chuo kitaa.
Best students wenye MaGPA yao huwa wanapanic baada ya kuona hawana skill yoyote ile zaid ya gpa.
Ila ukwel ni kwamba, ukiwa chuo try to live life beyond lecture notsi and GPA.
Do some business, try to take leadership challenges..... Engage urself in youth clubs/networks both on and off campus... Find an org you can "VOLUNTEER" with during your stay at college. And you will be ten miles away those guys who are fresh graduates......
You will have something of an added value that will place you at the frontline ukifika kitaa.
Simaanish upotezee kitabu, NO. But do something extra, try to explore ur potentialities beyond books.
And u will always be the best.