Hao wachukulie ile dhana ya pili na kusepa....
Kuna watu wanhisi kuwa wakifanya ngono na wenzao basi wanapata hasara....Kama hawakubakwa basi nao ni beneficiary na kwa hiyo wasi-mind sana! Waishie zao!!
Kuna huu uzi wa Maty, ulikuwa na mijadala inayoendana na hili jambo!!
https://www.jamiiforums.com/mahusia...katika-mauzoefu-yenu-mmeshakutana-na-hii.html
Poa Cheusi,
Sasa hawa wadogo zako ambao wako safarini kuitafuta avatar yako unawaachaje??
Wape mistari kidogo basi,
Babu DC
Do you have a bun in the oven?
I see. . .
Kwahiyo wanaona kama vile ni favour ambayo wanatakiwa warudishiwe kwa namna nyingine? Kwanini isiwe kwamba kila mmoja kamfanyia mwenzie favour (since hamna aliyetoa zaidi ya mwenzie) na wakishindwa kuendelea kusiwe na lawama wala manung'uniko?
poa babu,ngoja niwape huu mstari wapate hisia kidogo ya jinsi watakavyofeel;
A mother's joy begins when new life is stirring inside... when a tiny heartbeat is heard for the very first time, and a playful kick reminds her that she is never alone.
Unaona sasa,
Hapa lazima wapate usongo..
Ila ungewapa warning vijana kwamba hizo beats zinakuwa tamu zaidi kama owners wote wako pmaoja wanashangilia na kufurahia matunda ya kazi yao tukufu!!
Siamini kama watu wanajkuwa na sorber mind kiasi hicho!!
Yaani vijana wengi wanadhani kuna mtu anajeruhiwa na mwingine anajeruhi!!
Kuna wimbo mmoja wa Bongo flava unatoa picha kama hiyo...Kijana anamsubiri GF wake na maandalizi ni kuwa siku hiyo anaua!!
Siukumbuki jina ila wataalamu wanaweza kutusaidia!!
I wish they knew kwamba kila mmoja ni mhitaji, mshirikia na beneficiary wasingekuwa na malalamiko ya kuchezewa na kuchezeana/kupotezeana muda tunayopokea kila kukicha!
Hua unazungumza kwa mantiki,bip up bro!
what makes u to think so?
Karibu sana Kaka na Happy N/Y (siyo ule mji wenu lakini...lol)!!
Ndo unasema hivyo, hujui kwamba umeshasema mengi!!!!
I'm not thinking. I'm just asking. So maybe your question should have been 'what made you ask'? Well, what made me ask is your avatar.
Again, I'm not thinking. I'm just asking.
I'm not thinking. I'm just asking. So maybe your question should have been 'what made you ask'? Well, what made me ask is your avatar.
Again, I'm not thinking. I'm just asking.