Stoik
Member
- Feb 14, 2021
- 27
- 67
Habari zenu, Mimi ni Shabiki wa damu kabisa wa wekundu wa msimbazi.
Kwa maslahi mapana ya soka letu, ligi yetu napenda sana tuwe na timu imara. Ligi yetu ikizidi kuwa imara Simba naye anazidi kuimarika, kwasababu atapata changamoto nje na ndani. Azam, Yanga, Kagera Sugar, KMC, Namungo, Prisons, na wengineo wawe imara pia watoe upinzani halisi.
Tukifikia kuwa na timu imara zaidi, naamini angalau tunaweza kupata timu ya taifa yenye unafuu, Kwani Mchezaji mzawa atakaye kuwa anapata nafasi kwenye timu sita bora, lazima atakuwa na kiwango bora. ( Refer Timu ya DRC Congo wale mabingwa wa CHAN miaka ya nyuma kidogo).
Level aliyofikia simba, kama tungepata timu hata 3 zenye uwezo unaolingana naamini tungekuwa mbele kidogo zaidi ya hapa..
Hivyo basi, wito wangu kwa Uongozi, Mashabiki na Wadau wa team pinzani za Simba, ni nini hasa malengo yenu?
1. Kuwaponda Simba kinafki, huku hamna jitahada zozote kujinasua kwenye utopolo wenu?
2. Kujenga taasisi imara, ili tuwe na competitive league?
3. Tupambane ili tuutwae ufalme ulioshuka wa DRC Congo? ( TP Mazembe, As Vita, St Eloi Lupopo, Motema Pembe)
4. Kuendelea na kujilinganisha na Simba matokeo yake Simba watengeneze mfumo Simba? ( Refer Bayern Munchen, RB Salzburg, FC Basel, Juventus)
KAZI NI KWENU, KUNYOA AMA KUSUKA.
Kwa maslahi mapana ya soka letu, ligi yetu napenda sana tuwe na timu imara. Ligi yetu ikizidi kuwa imara Simba naye anazidi kuimarika, kwasababu atapata changamoto nje na ndani. Azam, Yanga, Kagera Sugar, KMC, Namungo, Prisons, na wengineo wawe imara pia watoe upinzani halisi.
Tukifikia kuwa na timu imara zaidi, naamini angalau tunaweza kupata timu ya taifa yenye unafuu, Kwani Mchezaji mzawa atakaye kuwa anapata nafasi kwenye timu sita bora, lazima atakuwa na kiwango bora. ( Refer Timu ya DRC Congo wale mabingwa wa CHAN miaka ya nyuma kidogo).
Level aliyofikia simba, kama tungepata timu hata 3 zenye uwezo unaolingana naamini tungekuwa mbele kidogo zaidi ya hapa..
Hivyo basi, wito wangu kwa Uongozi, Mashabiki na Wadau wa team pinzani za Simba, ni nini hasa malengo yenu?
1. Kuwaponda Simba kinafki, huku hamna jitahada zozote kujinasua kwenye utopolo wenu?
2. Kujenga taasisi imara, ili tuwe na competitive league?
3. Tupambane ili tuutwae ufalme ulioshuka wa DRC Congo? ( TP Mazembe, As Vita, St Eloi Lupopo, Motema Pembe)
4. Kuendelea na kujilinganisha na Simba matokeo yake Simba watengeneze mfumo Simba? ( Refer Bayern Munchen, RB Salzburg, FC Basel, Juventus)
KAZI NI KWENU, KUNYOA AMA KUSUKA.