Ujumbe maalumu toka mimbari za ijumaa

Ujumbe maalumu toka mimbari za ijumaa

Chifu mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2025
Posts
422
Reaction score
489
Huu ni Uzi maalumu kwa waislamu katika siku za ijumaa kupeana taarifa umeswali ijumaa msikiti gani, khatibu wa ijumaa alikuwa sheikh au Ustaadh gani na mada ya khutba ya ijumaa ilizungumzia nini.
Kwa kuanzia , Leo mimi nimeswali swala ya ijumaa katika msikiti wa Abuu Dharri Jundub bin Junada unaopatikana kwenye makutano ya Kawawa road na Mafuta street manispaa ya Moshi.
Khutba ya ijumaa imetolewa na sheikh Doctor Khamis Imamu toka Kariakoo Dar es salaam.
Ujumbe : Khutba ya ijumaa imetutaka waislamu kujiandaa kwa uchamungu tunapouelekea mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Pia sheikh kawakumbusha waislamu wanaodaiwa madeni ya swaumu ya mwezi wa Ramadhani iliyopita kulipa swaumu hizo kabla Ramadhani nyingine haijaingia.

Je wewe mwenzangu swala ya ijumaa umeiswalia wapi, msikiti gani, sheikh au Ustaadh gani katoa khutba , na khutba ya ijumaa ilikuwa na ujumbe gani?
 
Huu ni Uzi maalumu kwa waislamu katika siku za ijumaa kupeana taarifa umeswali ijumaa msikiti gani, khatibu wa ijumaa alikuwa sheikh au Ustaadh gani na mada ya khutba ya ijumaa ilizungumzia nini.
Kwa kuanzia , Leo mimi nimeswali swala ya ijumaa katika msikiti wa Abuu Dharri Jundub bin Junada unaopatikana kwenye makutano ya Kawawa road na Mafuta street manispaa ya Moshi.
Khutba ya ijumaa imetolewa na sheikh Doctor Khamis Imamu toka Kariakoo Dar es salaam.
Ujumbe : Khutba ya ijumaa imetutaka waislamu kujiandaa kwa uchamungu tunapouelekea mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Pia sheikh kawakumbusha waislamu wanaodaiwa madeni ya swaumu ya mwezi wa Ramadhani iliyopita kulipa swaumu hizo kabla Ramadhani nyingine haijaingia.

Je wewe mwenzangu swala ya ijumaa umeiswalia wapi, msikiti gani, sheikh au Ustaadh gani katoa khutba , na khutba ya ijumaa ilikuwa na ujumbe gani?
Ujumbe : Khutba ya ijumaa imetutaka waislamu kujiandaa kwa uchamungu tunapouelekea mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Pia sheikh kawakumbusha waislamu wanaodaiwa madeni ya swaumu ya mwezi wa Ramadhani iliyopita kulipa swaumu hizo kabla Ramadhani nyingine haijaingia.📌🔨
 
Sisi ambao sio Waislam lakini Tulisikia Mawaidha tuna Ruhsa ya Kuchangia
 
Sisi ambao sio Waislam lakini Tulisikia Mawaidha tuna Ruhsa ya Kuchangia
I'm very sorry!
Kutokana na misingi yetu ya dini ya kiislamu, hatupokei habari za kidini toka kwa mtu ambaye sio muislamu.
Na kwa msingi kama huu ndio maana ikitokea mtu ambaye sio muislamu akiuona mwezi mwandamo wa kuingia au kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, akileta taarifa hiyo ya mwezi kwa viongozi wa waislamu taarifa yake haiwezi kufanyiwa kazi kutokana na msingi huu wa kutofaa kupokea taarifa za kidini toka kwa watu ambao sio waislamu.
 
Khutuba: Sheikh yahya, katoa mawaza Kwa waumin walio hudhuria ijumaa ya Leo kuwa tuzingangatie maadili ya sisi na familia zetu, Baba na mama washiriki kikamirifu katika kuhakikisha wanafamilia wanafuata misingi ya Dini tukufu ya uislam katika maisha yetu ya kila siku. Amesema, ajabu baba au mama kuona mtoto anatoka nyumban amevaa suruari au kavaa hereni na wazazi mnaona, haifai katika maadili ya kiislam
 
Back
Top Bottom