Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kremlin haijawahi kutoa hili tamko OfficiallyNdugu zetu wakenya kuna huu ujumbe wenu hapa:
View attachment 2182063
Vipi uliwafikia au ndiyo mmefanya kama hamjauona?
Poleni lakini, ila huo ndiyo ukweli wenyewe.
Kremlin haijawahi kutoa hili tamko Officially
Ulitegemea Urusi ikae kimya baada ya like tamko la Kenya kule UN?Kremlin haijawahi kutoa hili tamko Officially
Nionyeshe official statement ya Kremlin iliyosema hivi. Kama walisema basi ilikua ni kutupiana maneno tu privately. Putin Hana muda wa kuita press kutoa matamko Kuhusu KenyaUlitegemea Urusi ikae kimya baada ya like tamko la Kenya kule UN?
Nionyeshe official statement ya Kremlin iliyosema hivi. Kama walisema basi ilikua ni kutupiana maneno tu privately. Putin Hana muda wa kuita press kutoa matamko Kuhusu Kenya
Jione, hata hujui kutofautisha kati ya habari za kweli na FAKE NEWS. Huyo uliyemnukuu, @EnockBett, ukidhani ni msemaji wa Kremlin na Putin ni mkenya pia. 😄Ujumbe huu umewapiga ndugu zetu wakenya panapo uma kisawa sawa.
Pamoja na kujimwambafy kwao kina MK254 wanapita juu kwa juu kama vile uzi hawauoni.
Usicheze na uzalendo.
Wameguswa.
Jione, hata hujui kutofautisha kati ya habari za kweli na FAKE NEWS. Huyo uliyemnukuu, @EnockBett, ukidhani ni msemaji wa Kremlin na Putin ni mkenya. 😄 Anakulisha upumbavu akiwa kwao mashinani Mogogosiek, sio Moscow. 😆
Buda, rudi tu kule FB, kwa vijitoto mazero brain. Huku watu wana akili zao jombaa.Ukweli huo hauwezi kuwa mwema kwenu.
Hilo linaeleweka jirani.
Poleni sana lakini, wala msidhani kuwa labd eti tunawacheka.
Wala eti labda kuwa heri sisi hatujasema.
Buda, rudi tu kule FB, kwa vijitoto mazero brain. Huku watu wana akili zao jombaa.
Najaribu kuwaza kijana anavyotikisa TAKO
Putin ni mhuni sana. Anamtukqnq jirani tusi zito ni kamq qmemunesha kidole cha kati[emoji867]