Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Naamini afya ya akili ya huyo kijana ilikuwa na dosari.
Unaingiaje deep na mke wa mtu?
Kwa kawaida akili ya mtu kwa mtu mwingine na sawa tu Imani ya mtu kwa mtu mwingine kila mmoja anamuona mwenye Imani tofauti na yeye anatakiwa kuxhunguzwa Afya ya akil yake
 
Status inakaa maneno mengi hivyo? Then balimaanisha nini aliposema hataki aone mitandaoni
Ningekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monica
 
Marehemu ni Fara Ameshindwa Kuwaza Kuhusu Wazazi Wake na Familia Take

Maamuzi Ya Kisenge na Udhaifu wa Hali Ya Juu..
Aliwaza kuhusu Wazazi wake na akawaomba radhi ndiyo akijilipua!!
 

Huyo Karibu Kabila gani?
 
1. Jamaa ni mjinga sana kujiua.
Yani Marehemu ni mpumbavu sana.

2. Eti kujiua kwa sababu alikuwa anatembea na mke wa Masanja ni uongo sana.
Yani wametegea huyo bwege amejiua ndio waanze kuzusha.

TAZANIA INA WAJINGA WENGI SANA.
Wewe sio Masanja?


Hii comment yako ni ya kujifariji kabisa.

Umeshaambiwa mkeo alikuwa anapigwa pumbu na katibu,

Badala ya kutoa maamuzi as a man,
Unajifariji kwa kusema marehemu ni mwongo.,
Mzushi,,


Dah,,,,,mapenzi bhana!!!!!!
 
Monica atakuwa hufinyia kwa ndani!😁.
 
Ni suala la muda tu more will be revealed!
 
Na kingine vipi kama mshkaji ndo kamdedisha mchizi then akafanya ionekane kama kajiua...just thinking out loud[emoji2377]
 
Inaonesha monica Ni mtamu....on a kaka anavuolalalmika kwenye barua
Mpaka anajiua sio bure penzi la Monica lilimpa depression kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…