Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Kwani wote tuna ishi same.? Taja kwenu ukute hata kabila lako unaona aibu kulitaja.
Sawa kwenu wapi.? Umekariri. Same yote ni kame.. ?Wapare kwenu Same.
Hata kama upo Newyork ila origin yako ni SAME milimani, ukame.
#YNWA
Olewa tuHalafu anatokea bwege ananiambia nioe, wa kuoa nitakuwa mimi bana?
Sitaki linikute jambo kama la Masanja. Najua kupika, kufua kuosha vyombo n.k!View attachment 2381717
Tutake lazi blazawe utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea
nisamehe Blaza sirudii tena 😛Tutake lazi blaza
Njegere bei kubwa kuliko nyama, inawezekana hujawahi kununua vyakula wewe na umekariri nyama tuu ndo tamu.we utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea
😂😂😂Had njegereizo njegere mie lazima ningetoa boko
😂😂😂Dah qmmk unapika hadi njegere? Mi ghetto nikipika ni chai, mayai, nikijitahidi sana wali, hafu vyombo sioshi naloweka week hafu naweka kwenye friji, hafu naloweka hafu namwaga maji.
Kuna jamaa nilimtembelea ghetto ana hadi kibao cha kukuna nazi na kukanda chapati. Hadi flampen za vitumbua anazo. Yule mwamba nuksi.
😂😂😂JamaniMzee umeweka carrot na Hoho kabisa,huo Muda umeutoa wapi
We si umenikataa
Ooh mie Tena 😂We si umenikataa
Huo nd ukwelMasanja Simpendagi tu..na sina sababu yoyote ila kwa hili kwa kweli anapita kwenye hard time..halafu tucheki scenarios mbili...
1.inawezekana masanja aligundua huu uhusiano akaupiga pini
2.Na baada ya kuupiga pini ndani ya mwezi akaamua kumaliza mchezo kabisa
Ndoa imekuwa mtihani sana,upweke ndio unalazimisha watu waonae.Kuoa ni ujinga, wenye akili na maono tushaliona hilo!
Hata mi Kuna Dem nilkua naye anapenda sana kuangalia Tamthilia za Mapenzi adi sometimes anaanza kuigilizia kama wanavofanya waigizaji nikajaribu kumkataza lakini wapi ....Kawa kama chizi Maisha yake ni kama movie.Hizi tamthilia za Kifilipino wanazoangalia vijana wetu zinawatesa sana! 🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️
......Nimeiona huko Twitter, inasemekana Katibu wa Kanisa la Mchungaji Masanja amejiua na kuacha waraka mrefu unaoeleza kuwa, alikuwa na mahusiano na mke wa Mchungaji wake Masanja, na kwamba penzi hilo limeelekea kufa, hivyo Katibu ameshindwa kuvumilia.